Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Huyu ni captain wa simba, siku ya kucheza mechi ya mwisho na mtibwa sugar hakuwepo hata bench
Hata kwenye kukabidhiwa ubingwa hakuonekana
Na hakuna taarifa zilizotoka Je tatizo ni nini?
Mbona kunakuwa hakuna taarifa sahihi?
Kama hiyo haitoshi jana hajaonekana wakati simba iliporejea dar es salaam kutambulisha kombe kwa mashabiki
Kikawaida captain anapokosekana sisi mashabiki ni wajibu wetu kujua yupo wapi kiongozi wetu ndani ya uwanja
Ni sisi mashabiki wa Simba Ukawa
Hata kwenye kukabidhiwa ubingwa hakuonekana
Na hakuna taarifa zilizotoka Je tatizo ni nini?
Mbona kunakuwa hakuna taarifa sahihi?
Kama hiyo haitoshi jana hajaonekana wakati simba iliporejea dar es salaam kutambulisha kombe kwa mashabiki
Kikawaida captain anapokosekana sisi mashabiki ni wajibu wetu kujua yupo wapi kiongozi wetu ndani ya uwanja
Ni sisi mashabiki wa Simba Ukawa