Poor poor poor.... watz umasikini umewadumaza akili. Mda wote mnawaza kimaskini maskini. Poleni sana.
Kuna maxmalipo, tigopesa, airtel money na mabenki yote yanatoa huduma za tra kama huduma zingine zitolewazo na makampuni hayo...
Pooote mmeona sio issue, tatizo ni vodacom na mpesa yao kisa kuna watu mnaowajua kwa sababu zenu binafsi za ki-chuki chuki zenu kama sehem ya wamiliki hivyo hapafai kupata tenda za kutoa huduma zitolewazo na taasisi zingne....
Hii kweli kali.. JF ukiitafakari kwa jicho la mbali ni kama kijiwe cha kahawa hivi tofauti ni teknolojia itumikayo kuwasilisha mawazo...
Watoa mada wanaandika pumba tupu zilizojaa kila aina ya ufukara wa mawazo bado nao eti wanajiita great thinker!!!
Hata kama hutaki kuandika ila ukisoma upuuzi wa wachangiaji unashawishika kujibu hz pumba.
Ndg badirikeni. Wakati mna mawazo mgando, dunia inasonga na watu wanatumia kila aina ya fursa inayopatikana kujiletea maisha bora...
Kalieni hayo majungu kutwa busy kujadili maisha ya watu tu. Lakini kumbukeni fainali uzeeni.