goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,839
- 13,129
Wakuu alamsiki.
Wakuu, ni siku tatu sasa cpati Clouds FM hewani. Siyo mpenzi ila kuna vipindi viwili hivi naweza kusikiliza nikipata muda. Sana Sport Extra na Power Breakfast asubuhi otherwise nita-tune RFA kusikiliza Dira ya Dunia na DW ya mchana navipenda sana vipindi hvyo.
Sasa ajabu leo ni siku ya tatu hawasikiki na wala sijasikia tamko lolote kutoka kwao. Je, kuna lolote limetokeaa huko kwenye kurusha masafa ya mbali ya mitabendi 88.9 Khw Singida.
Je, ni huku tu ndio hakusikiki au ni nchi nzima. Hata hvyo hataispo sikika haina noma maana wale jamaa wa Clouds Media Group wanajiona werevu sanaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu, ni siku tatu sasa cpati Clouds FM hewani. Siyo mpenzi ila kuna vipindi viwili hivi naweza kusikiliza nikipata muda. Sana Sport Extra na Power Breakfast asubuhi otherwise nita-tune RFA kusikiliza Dira ya Dunia na DW ya mchana navipenda sana vipindi hvyo.
Sasa ajabu leo ni siku ya tatu hawasikiki na wala sijasikia tamko lolote kutoka kwao. Je, kuna lolote limetokeaa huko kwenye kurusha masafa ya mbali ya mitabendi 88.9 Khw Singida.
Je, ni huku tu ndio hakusikiki au ni nchi nzima. Hata hvyo hataispo sikika haina noma maana wale jamaa wa Clouds Media Group wanajiona werevu sanaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app