Kuna mwanamke amenifungia kipindi cha ajali

Kuna mwanamke amenifungia kipindi cha ajali

hazole1

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
4,319
Reaction score
3,919
saizi tupo kwenye karne ya ushindani wa hali ya juu sana na kila mtu anataka kujiona ni mjanja sana kuliko mwenzake.

mm kuna mwanamke nina uhisiano naye kama miezi 2 hivi lakini ktk huu uhusiano mm ni full kuingilwa kila siku nachezewa plan za kuombwa hela sasa imefikia wakati plan za kuombea hela zimeisha.

leo hii amenitumia massage ananiambia jana wakati anaenda kijijini alipata ajali walikufa watu 3 ila yeye alivunyika mbavu na saizi yupo hospatali kwahiyo anaomba ni mtumie 50000 ili imsaidie kwenye matibabu.

na wakati huo leo asubuhi mm nimemuona hapa mjini anapiga misele na ni mzima kabisa.
na kwabahati nzuri yeye hakuniona.
 
Mwambie asikufanye mjinga... mwambie umemuona town full stop. Alaf kausha.
Wala usimtafute tena. Huyo mwanamke akupendi... anatafuta pesa zako tu...
 
Wekeza kwenye penzi Mkuu . Mpe hiyo 50,000/- haitoshi hata kwenda salon povu la nini humu ?
 
saizi tupo kwenye karne ya ushindani wa hali ya juu sana na kila mtu anataka kujiona ni mjanja sana kuliko mwenzake.

mm kuna mwanamke nina uhisiano naye kama miezi 2 hivi lakini ktk huu uhusiano mm ni full kuingilwa kila siku nachezewa plan za kuombwa hela sasa imefikia wakati plan za kuombea hela zimeisha.

leo hii amenitumia massage ananiambia jana wakati anaenda kijijini alipata ajali walikufa watu 3 ila yeye alivunyika mbavu na saizi yupo hospatali kwahiyo anaomba ni mtumie 50000 ili imsaidie kwenye matibabu.

na wakati huo leo asubuhi mm nimemuona hapa mjini anapiga misele na ni mzima kabisa.
na kwabahati nzuri yeye hakuniona.

Pole ila umejitakia
 
Mpigie simu mwambie upo mapokezi je amelazwa wodi namba ngapi!? Atalokujibu litakuongezea uhakika kuwa mtu uliyenae si mwanamke ni kiwanda cha kutema uongo
sijawahi kukutana na mwanamkwe muongo kama huyu.
 
Back
Top Bottom