MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Hivi Rais kama Idriss Deby wa Chad ( sasa Marehemu ) Kwanza amedumu Madarakani kwa miaka 30, Katesa na Kuua sana Watu, Kaharibu Demokrasia nzima ya Chad, kazaa na Wake za Wateule wake, alikuwa Mkabila na Mdini, kapendelea mno Kwao, wala hakujali Wafanyakazi wake kwa Kuwaongezea Mishahara yao, kaharibu Uchumi, Umoja, Ustawi na Mshikamano wa Chad leo Kafa Wananchi hao hao wa Chad 'Wanamlilia' na mpaka kupewa 'Maziko' ya Heshima na Makubwa.
Sijui ni nani 'Katuroga' hivi Sisi Miafrika!!
Sijui ni nani 'Katuroga' hivi Sisi Miafrika!!