Kuna mtu kasema niandike huu uzi

Kuna mtu kasema niandike huu uzi

Wewe haupo lonely ngoja nikueleze jamboo ujue .

Kuwa single kwa mwanamke ningumu ila kama hauna mtu anayekushawishi huwezi kujiweka kwa watu ambao hawana future maisha yanaenda huwezi kuwaza dudu masaa yote.
 
Wewe haupo lonely ngoja nikueleze jamboo ujue .

Kuwa single kwa mwanamke ningumu ila kama hauna mtu anayekushawishi huwezi kujiweka kwa watu ambao hawana future maisha yanaenda huwezi kuwaza dudu masaa yote.
Get a rest
 
Sifa za unique flower,
Nahofu ya Mungu.
Namiaka 30+years old .
Mkoa niliopo sijui napia kazi yangu ni umbeya.
Napenda kuogelea , navitu ambavyo ni vizuri.

Napenda kusali, kusoma biblia na kuimba nyimbo za sifa .mf za dini

Kuangalia filamu ,vichekesho na kujua vitu vipya .

Haya nimekujibu hadharani ulivyotaka niviseme.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee mkoa uliopo ni upande gani wa Tanzania? South /East /West /North or Coast? I see that you are a little sturbon [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom