Kuwait serious basi kama hujui kaa kimyaMwambie aina hiyo ya laptop hutolewa bure na USAID.
Labda kama unataka umtoe buku 10 ya maji.
Akibisha kukupa hiyo laptop niambie PM au piga 99 kwa msaada zaidi.
sema ni ya mwaka gani na anataka kukuuzia bei gani... ina 3.5 ghz imekuwa desktop au???Wadau nisaidieni wale wauza simu chap naona kuna mtu anataka kunipiga hapa bei Ya laptop aina ya apple yenye details hiziRAM 4Gb,HARD DISC 512 ,processor 3.5,SIZE INCH 14 ,COLOUR BLACK AND SILVER GUARANTEE 2YRS ,,NAMBIEN WADAU CHAP BEI YAKE
Kwa hiyo hiyo laptop iko kuwait mkuu!!??Kuwait serious basi kama hujui kaa kimya
Huyo Mtu kama yuko KUPATANA.COM kimbia mbio sana, usigeuke nyumaWadau nisaidieni wale wauza simu chap naona kuna mtu anataka kunipiga hapa bei Ya laptop aina ya apple yenye details hiziRAM 4Gb,HARD DISC 512 ,processor 3.5,SIZE INCH 14 ,COLOUR BLACK AND SILVER GUARANTEE 2YRS ,,NAMBIEN WADAU CHAP BEI YAKE