Kuna Mtu ana Mashaka na Uwezo wa Jemedari Mrisho Gambo?

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Wakuu Uwezo Mkubwa wa Vijana hawa hakika ni hazina katika taifa hili Masikini linalohitaji watu wake wawe wanafanya Kazi na Si Porojo na Kuunda Makundi na Kukaa Vijiweni.

Mimi Nampongeza mwenye Mkoa wake ,Kijana Mrisho Gambo Kipenzi cha Wana Arusha kuwa Mkoa wa Arusha Ameuweza na Upo Under Total Control ninachompongeza Zaidi ni lile suala la Maandamano Arusha ilikua prone sana kwa maandamano.

Maandamano yalimaliza sana Vijana kwa Vipigo walivyokua wanavipata ndiyo maana hadi sasa Vijana wa Arusha wameamua Kumtii Mrisho Gambo aliyerudisha Amani na Kukomesha Tabia hiyo ya

Maandamano yaliyokua yananufaisha wanasiasa. Waswahili wanasema '''Mchuma janga hula na wakwao'' asitokee Kiongozi wa Kiasa akavunja sheria za Nchi akakamatwa akafikiri watu wa Arusha watamtetea Hapana.

Mwisho Vijana kama Paul Makonda, Mrisho Gambo, Ally Hapi ni Viongozi wazuri sana tuwaoneshe Ushirikiano tuu.
 
Arusha imetulia ila kuna watu wanataka kuleta chokochoko....ngoja wafichwe kama Lema ndio wataelew vyema.
Naona lema kwa sasa hajiweki front...anawatumia watu..
 
Arusha imetulia ila kuna watu wanataka kuleta chokochoko....ngoja wafichwe kama Lema ndio wataelew vyema.
Naona lema kwa sasa hajiweki front...anawatumia watu..
True mkuu Mstahiki Meya wao naona amechoka Kukaa Uraiani.
 
Mleta mada ninauwakika Hajawai fika ARUSHA na haijui.

Gambo alijitangaza mwenyewe na amejimaliza mwenyewe.
Yani ni kwamba Gambo alikuwa anapambana pasipo wapambanaji.

Arusha ni Chadema, Arusha haikuwai kuwa ya ccm, ndio haijawai kuwa ya ccm na haitowai kuwa ya ccm milele. Gambo analijua hilo na ccm wanafahamu pia.

Mleta mada tafadhali ni-inbox namba yako ya m-pesa ili nikutumie nauli uende Arusha ukajifunze
 
Kinachokosekana nchi hii kwa viongozi wetu ni hekima na haki ambayo ingeleta amani na upendo nchini. Tukazane hivi vipatikane kwa viongozi wetu.
 
Arusha imetulia ila kuna watu wanataka kuleta chokochoko....ngoja wafichwe kama Lema ndio wataelew vyema.
Naona lema kwa sasa hajiweki front...anawatumia watu..
Wataalamu wa kutafuna rambirambi.
Mnazitaka na hizo nyingine kwa nguvu, mna laana nyie
 
Wakuu Uwezo Mkubwa wa Vijana hawa hakika ni hazina katika taifa hili Masikini linalohitaji watu wake wawe wanafanya Kazi na Si Porojo na Kuunda Makundi na Kukaa Vijiweni.

Mimi Nampongeza mwenye Mkoa wake ,Kijana Mrisho Gambo Kipenzi cha Wana Arusha kuwa Mkoa wa Arusha Ameuweza na Upo Under Total Control ninachompongeza Zaidi ni lile suala la Maandamano Arusha ilikua prone sana kwa maandamano.

Maandamano yalimaliza sana Vijana kwa Vipigo walivyokua wanavipata ndiyo maana hadi sasa Vijana wa Arusha wameamua Kumtii Mrisho Gambo aliyerudisha Amani na Kukomesha Tabia hiyo ya

Maandamano yaliyokua yananufaisha wanasiasa. Waswahili wanasema '''Mchuma janga hula na wakwao'' asitokee Kiongozi wa Kiasa akavunja sheria za Nchi akakamatwa akafikiri watu wa Arusha watamtetea Hapana.

Mwisho Vijana kama Paul Makonda, Mrisho Gambo, Ally Hapi ni Viongozi wazuri sana tuwaoneshe Ushirikiano tuu.
Tuwaombee hekima na busara na kujitambua kama wao ni binadamu na si miungu watu, ili uwe kiongozi mzuri unahitaji............
 
Wakuu Uwezo Mkubwa wa Vijana hawa hakika ni hazina katika taifa hili Masikini linalohitaji watu wake wawe wanafanya Kazi na Si Porojo na Kuunda Makundi na Kukaa Vijiweni.

Mimi Nampongeza mwenye Mkoa wake ,Kijana Mrisho Gambo Kipenzi cha Wana Arusha kuwa Mkoa wa Arusha Ameuweza na Upo Under Total Control ninachompongeza Zaidi ni lile suala la Maandamano Arusha ilikua prone sana kwa maandamano.

Maandamano yalimaliza sana Vijana kwa Vipigo walivyokua wanavipata ndiyo maana hadi sasa Vijana wa Arusha wameamua Kumtii Mrisho Gambo aliyerudisha Amani na Kukomesha Tabia hiyo ya

Maandamano yaliyokua yananufaisha wanasiasa. Waswahili wanasema '''Mchuma janga hula na wakwao'' asitokee Kiongozi wa Kiasa akavunja sheria za Nchi akakamatwa akafikiri watu wa Arusha watamtetea Hapana.

Mwisho Vijana kama Paul Makonda, Mrisho Gambo, Ally Hapi ni Viongozi wazuri sana tuwaoneshe Ushirikiano tuu.

Kwako wewe kudhibiti maandamano ndiyo uchapaji kazi?! Hebu orodhesha hapa mambo matano aliyofanya kwa manufaa ya wananchi wa Arusha na taifa kwa jumla.
 
Uwezo upo wa aina nyingi.Hata uwezo wa kujiteketeza/kujilipua ni miongoni. Acha ajilipue yeye na anayemtuma!
 
Wak wanasiasa. Waswahili wanasema '''Mchu.

Mwisho Vijana kama Paul Makonda, Mrisho Gambo, Ally Hapi ni Viongozi wazuri sana tuwaoneshe Ushirikiano tuu.
Kwa hiyo mnajisifia kwa uminyaji wa demokrasia mnaoufanya???Vyombo vya ulinz na usalama mnavyojivunia ipo cku vitakuwa upande wa wananchi
 
Duu hivi ni MKUU WA MKOA au JEMEDARI wa mkoa maana sielewi...
Hebu muuzaji niongeze mchuzi manake pweza wa leo watamu sana
 
Back
Top Bottom