Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

Iran inabid a engage full war in Israel, Israel akipgwa vzr atasema pooo, anaweza kuimudu Israel vzr kwa ukarbu na accurate target
 
Jana wanadiplomasia 4 wa Iran, kufika tu Lebanon, wote wakauawa! Unafikiri hicho ni kitu rahisi? Walijuaje kuwa wanadiplomasia wa Iran wanaenda Lebanon? Walijuaje watakuwa wapi muda huo? Kumfuatilia kiongozi hadi kumwua tena wakati na yeye anachukua tahadhari za kiusalama, siyo jambo rahisi. Lazima tukubali kuwa intelijensia ya Israel ipo mbali sana ukilinganisha na ile ya Iran.

Na kama Israel ingeamua kupiga ovyo kama inavyofanya Iran, sahizi ingekuwa ni maelfu ya Wairan wamekufa..
Israel na Marekani wanajifahidi sana kuepuka mauaji ya raia ili wawananchi wa Iran wawaunge mkono katika kuuondoa utawala dhalimu na katili wa Ayafollah. Hata hivyo, kama waswahili wasemavyo, vita haina macho, bado kuna raia wa Iran wameuawa.
Wenda hauko sawa kichwani hivi hii propaganda ya Iran kupiga hovyo mnakuwa mnaisema kwa misingi ipi?
Kama anarusha hovyo mbona hayo makombora hayatui pakistani,misri ila yanatua kwenye nchi yaliyo kusudiwa kwenda?
Yaani mpaka sasa base za Marekani zote zilizoko mashariki ya kati vineharibiwa mpaka Marekani amezikimbia zote,wameharibu rada zaidi ya nane zenye thamani ya mabilion ya $ Israel haikaliki alafu useme eti Iran ana shambulia hovyo.

Mpaka sasa Marekani na Israel imesha shambulia shule zaidi ya 10 ikiwemo ile ambayo waliuwa watoto 180 wameshambulia hospital na vituo vya afya 9,wamesha haribu nyumba za makazi ya watu zaidi ya 10,000 alafu useme eti hawalengi raia?
 
Kuna mtego ambao iran anaingia pasipo kujua

Ushabiki wekeni pembeni tujiulize kabisa kama Marekani na Lsrael wana uwezo wa kujua siri za ndani ya iran yaani nina maana kujua wapi viongozi wa juu wa iran walipo na kuwaua je washindwe kujua uwezo kamili wa kivita wa iran?

Je kama walijua Iran ni tishio kwao kwanini wali attack iran ?

Je kwanini wanawekeza nguvu zao nyingi katika kujitetea na kuonyesha dunia kuwa wanaonea ? Kama umefatilia vizuri vita hivi zaidi upande wa israel wamekuwa wakionyesha huruma kuwa wanaonewa iran inashambulia makazi ya watu. wao wana shambulia vituo vya kijeshi

Kwanini wanashindwa kutangaza vita kamili zidi ya iran?

Ukijiuliza maswali yote haya utagundua kuna hesabu za mbali zinapigwa hapa ambazo matokeo yake yatakuja kujulikana hapo mbeleni kidogo tuombe uzima tu
Mtego upi wewe yule Spy wao alikuwa General Ismail Qaan ndiye aliye wauza kina Nasurlah, Seifdin na makamanda wa Hezboullah time wanauliwa alikuwa Lebanon na kuhusu makamanda wa Iran na Ayatollah Ali Khomen yeye pia alihusika sa Israel ni vigumu kufanikiwa baada ya huyo Ismael Qaan kuny'ongwa au kukimbia watapata wapi infomation tena.

We baki na hizo fikra zitakufurahisha wewe tu ukweli Iran anawachapa vibaya sana Israel na America
 
Inawezekana akawa ni mtoto wa mkubwa akapandishwa vyeo ambavyo hastaili, ila vitani wanaenda wale waliotakiwa kuwa na vyeo staili.
Angalia taswira ya askari wa pembeni ni mmoja na huyo wa nyuma ya binti. That means wameiduplicate
 
Kuna mtego ambao Iran anaingia pasipo kujua

Ushabiki wekeni pembeni tujiulize kabisa kama Marekani na Israel wana uwezo wa kujua siri za ndani ya Iran yaani nina maana kujua wapi viongozi wa juu wa Iran walipo na kuwaua. Je, washindwe kujua uwezo kamili wa kivita wa Iran?

Je kama walijua Iran ni tishio kwao kwanini wali attack Iran ?

Je kwanini wanawekeza nguvu zao nyingi katika kujitetea na kuonyesha dunia kuwa wanaonea ? Kama umefatilia vizuri vita hivi zaidi upande wa Israel wamekuwa wakionyesha huruma kuwa wanaonewa na Iran inashambulia makazi ya watu,wao wana shambulia vituo vya kijeshi.

Kwanini wanashindwa kutangaza vita kamili zidi ya Iran?

Ukijiuliza maswali yote haya utagundua kuna hesabu za mbali zinapigwa hapa ambazo matokeo yake yatakuja kujulikana hapo mbeleni kidogo tuombe uzima tu​
www. Facebook.com umejaribu huko mkuu?? kuna wayahudi wa kisukuma wapo tayari kushusha Amina za kutosha
 
Kuna mtego ambao Iran anaingia pasipo kujua

Ushabiki wekeni pembeni tujiulize kabisa kama Marekani na Israel wana uwezo wa kujua siri za ndani ya Iran yaani nina maana kujua wapi viongozi wa juu wa Iran walipo na kuwaua. Je, washindwe kujua uwezo kamili wa kivita wa Iran?

Je kama walijua Iran ni tishio kwao kwanini wali attack Iran ?

Je kwanini wanawekeza nguvu zao nyingi katika kujitetea na kuonyesha dunia kuwa wanaonea ? Kama umefatilia vizuri vita hivi zaidi upande wa Israel wamekuwa wakionyesha huruma kuwa wanaonewa na Iran inashambulia makazi ya watu,wao wana shambulia vituo vya kijeshi.

Kwanini wanashindwa kutangaza vita kamili zidi ya Iran?

Ukijiuliza maswali yote haya utagundua kuna hesabu za mbali zinapigwa hapa ambazo matokeo yake yatakuja kujulikana hapo mbeleni kidogo tuombe uzima tu​

Kuna mtego ambao Iran anaingia pasipo kujua

Ushabiki wekeni pembeni tujiulize kabisa kama Marekani na Israel wana uwezo wa kujua siri za ndani ya Iran yaani nina maana kujua wapi viongozi wa juu wa Iran walipo na kuwaua. Je, washindwe kujua uwezo kamili wa kivita wa Iran?

Je kama walijua Iran ni tishio kwao kwanini wali attack Iran ?

Je kwanini wanawekeza nguvu zao nyingi katika kujitetea na kuonyesha dunia kuwa wanaonea ? Kama umefatilia vizuri vita hivi zaidi upande wa Israel wamekuwa wakionyesha huruma kuwa wanaonewa na Iran inashambulia makazi ya watu,wao wana shambulia vituo vya kijeshi.

Kwanini wanashindwa kutangaza vita kamili zidi ya Iran?

Ukijiuliza maswali yote haya utagundua kuna hesabu za mbali zinapigwa hapa ambazo matokeo yake yatakuja kujulikana hapo mbeleni kidogo tuombe uzima tu​
Hiyo vita ilipofikia kwa sasa ni kufeli kwa intelijensia ya USA na Israel kufanya regime change nchini Iran hapo hakuna timing yeyote maana kambi za USA kwenye nchi nyingi za kiarabu zimepigwa sasa timing gani hapo au ndiyo miujiza??
 
Hizo hesabu walishindwa kuzipiga wakati wanachezea kichapo kule Vietnam na Afghanistan hadi wakafungasha virago kwa aibu?

Ukweli ni kwamba Iran anao uwezo mkubwa wa teknolojia ya zana za kivita ndiyo maana anajipogia popote atakapo ndani ya ardhi ya Israel pamoja na kuzichakaza kambi zote za Marekani mashariki ya kati.

Kumbuka Marekani na Israel wana mifumo imara sana ya ulinzi wa anga lakini umeshindwa kuzuia makombora ya Iran. Hadi hapo bado unaibeza nguvu ya Iran?

Iran anazitandika nchi zaidi ya kumi kwa mpigo na kwa shabaha halisi bado unapigwa propaganda za miaka ya 80?
USA hana huwezo hata wakupigana na China nimefuta ilo wazo
 
Kwenye mambo ya intelijensia Israel yuko mbele sana, huwezi mcompare ni Iran
Huwez kuelewa sababu ya stereo type ambayo tumekua tukiimbiwa miaka yote mpaka sisi wengine tulipoamua kuwa open minded na kuyatafuta maarifa bila mipaka
 
Unadhani Muajemi hayajui hayo unayoyahisi wewe? Anachosumbuka nacho miaka nenda rudi ni lile kundi dogo la makabila ya kusini ambayo ni almost 20% ya population ya hao ambao kwa kiasi kikubwa ndio wauza taarifa za Muajemi kwa Israel ila pamoja na yote Muajemi kwa intelijensia ni mwamba kupitiliza. Achana na stereo type tuliyolishwa miaka nenda rudi ya Israel na Marekani kuhusu intelijensia zao.

Weeeee dogo au umelewa kiroba?
Intelejensia viongozi wake wanauawa? Au hujui unachosema? Nyie madogo mkivimbiwa futari basi mnaharisha tu na kujamba.
Screenshot_2026-03-08-06-53-03-452_com.twitter.android~2.jpg


Screenshot_2026-03-08-06-53-03-452_com.twitter.android~2.jpg
 
Kuna mtego ambao Iran anaingia pasipo kujua

Ushabiki wekeni pembeni tujiulize kabisa kama Marekani na Israel wana uwezo wa kujua siri za ndani ya Iran yaani nina maana kujua wapi viongozi wa juu wa Iran walipo na kuwaua. Je, washindwe kujua uwezo kamili wa kivita wa Iran?

Je kama walijua Iran ni tishio kwao kwanini wali attack Iran ?

Je kwanini wanawekeza nguvu zao nyingi katika kujitetea na kuonyesha dunia kuwa wanaonea ? Kama umefatilia vizuri vita hivi zaidi upande wa Israel wamekuwa wakionyesha huruma kuwa wanaonewa na Iran inashambulia makazi ya watu,wao wana shambulia vituo vya kijeshi.

Kwanini wanashindwa kutangaza vita kamili zidi ya Iran?

Ukijiuliza maswali yote haya utagundua kuna hesabu za mbali zinapigwa hapa ambazo matokeo yake yatakuja kujulikana hapo mbeleni kidogo tuombe uzima tu​
Mzungu sio fala- hii kauri mtaielewa siku moja
 
Kuna mtego ambao Iran anaingia pasipo kujua

Ushabiki wekeni pembeni tujiulize kabisa kama Marekani na Israel wana uwezo wa kujua siri za ndani ya Iran yaani nina maana kujua wapi viongozi wa juu wa Iran walipo na kuwaua. Je, washindwe kujua uwezo kamili wa kivita wa Iran?

Je kama walijua Iran ni tishio kwao kwanini wali attack Iran ?

Je kwanini wanawekeza nguvu zao nyingi katika kujitetea na kuonyesha dunia kuwa wanaonea ? Kama umefatilia vizuri vita hivi zaidi upande wa Israel wamekuwa wakionyesha huruma kuwa wanaonewa na Iran inashambulia makazi ya watu,wao wana shambulia vituo vya kijeshi.

Kwanini wanashindwa kutangaza vita kamili zidi ya Iran?

Ukijiuliza maswali yote haya utagundua kuna hesabu za mbali zinapigwa hapa ambazo matokeo yake yatakuja kujulikana hapo mbeleni kidogo tuombe uzima tu​

Yaani Israel, Ipige Hospitali, iue watoto wa Chekechea wakiwa Shuleni, kwako hilo hujaona ni tatizo?
Kwanza Irani imelazimishwa kupigana na Israel na hii ni mara ya pili
Mwaka jana Israel ilipiga Irani, Irani ikajibu kwa kipigo kitakatifu hadi Marekani ikaja mbio kuokoa jahazi.
Bila aibu; mwaka huu Israel imerudia tena kuipiga Irani; huku ikipiga Hospitali na hata shule za watoto...
Yenyewe bomu likiangukia mtaani inalia lia; Hapo nani wa kuonewa huruma???

Hao Waisraeli walimuua Yesu hivyo wakikaa bila kuua ni kama wanawashwa....
KAMA SIO MAREKANI, SAFARI HII ISRAEL INGEFANYWA KAMA ILIVYOFANYA KWA PALESTINA
 
Iran kwa sasa anarusha mateke ya mwisho ila marengo ya USA na Israel lazima yatimie!..

Marengo yenyewe:
1. Kuharibu kabisa mitambo ya nukes ya Iran
2. Kuharibu Kabisa viwanda vya kutengenza missiles na drones.
3. Kuhakikisha utawala wa kidini wa Ayatollah unatokomea.
4. Isiwe na nguvu tena ya kufadhili makundi ya kigaidi kama Hezbollah na hamas


Kiufupi ni kwamba USA na Israel wanataka Iran irudi chini kiasi hata jwtz iwazidi nguvu.
 
Kwamba wewe ndio una akili sana kuliko hao Wairani umeweza kung'amua kabla yao
Kwani bado huwajui watz walivo wataalam wa vita za mbele?
Eti kuna mtego yeye huku kajua halafu Iran anaepigana vita hajui!!
Kuna vitu vingine haihitaji vipimo kujua Afya zetu za Akili.
 
Israel kwanini wamemficha netapaka kwa zaid ya wiki had sasa
Au jamaa naye kamfuata khamenei?
 
Back
Top Bottom