Kuna msichana nampenda lakini yeye nahisi hanipendi nikimtumia meseji hajibu anasema hana credit .Kisa kwamba nilshawai kumtongoza akanikataa ni miezi sita sasa namfuatilia mpaka nimechoka yeye anataka nimpigie simu mimi tu .
Kumpenda mtu ambaye hakupendi ni sawa na kungojea meli airport.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
pole mkuu mpaka leo bado una mambo hayo? Hadi leo hii 2013 Wanawake wote hao umemuona mmoja tu?
Wewe umesema na unamhisi hakupendi, ni miezi sita sasa, haoneshi dalili za kukupenda. Bado hujajua cha kufanya tu..!!Sasa nifanyaje
Sasa nifanyaje
Sasa nifanyaje
kunywa sum il ukaoe malaika huko pepon.
Sasa nifanyaje
Mkubwa jina lako lina uhusiano wowote na umri wako? Au ni umbo tu?
Kuna msichana nampenda lakini yeye nahisi hanipendi nikimtumia meseji hajibu anasema hana credit .Kisa kwamba nilshawai kumtongoza akanikataa ni miezi sita sasa namfuatilia mpaka nimechoka yeye anataka nimpigie simu mimi tu .