Kuna mobile devices wanaotumia Flutter humu

Kuna mobile devices wanaotumia Flutter humu

Uzuri ni kwamba upande wa backend unaweza tumia language nyingine. Unamix language tofaut vizuri tu. Kma ukitaka kwenda flutter mazima ni lazima ujue na native language ya platform unazo target maana utakuja kwama vibaya
mkuu naomba kujua PL zinazo Support backed kwenye flutter ukiachana na JS + dart, mm najua hizo mbili tu
 
Flutter bado inakua. Ndio kwanza imetoka kwenye beta stage. Kitu kikiwa kwenye beta makampuni makubwa hayawezi kukirukia. Ssahvi ndi inaanza kukua vizuri.
Kuna apps za Google tayari ziko built in fluttet kma Google Ads, Stadia App, Google assistant, na zingine zinaongezeka kma Google TV app, Google photos (soon). Na kuna app za company zingine eBay, Alibaba, nk.
Ukitaka kutumia flutter fully kwa sasa lazima ujue na native language za target platforms ili ukikakwa unaingiza tu JS or Kotlin or Swift
most wanatumia kwenye UI?
 
Una target platform gani? iOS + Android + Web? Au android tu? Kma platform ni moja tu ni bora ufanye native tu
Target yangu hasa ni android +ios tu asante sana mkuu hiyo native niko gizani naanzia wapi hasa mkuu nionyeshe japo njia yaani hizi terminology zenu zinasumbua vichwa naomba unieleweshe kwa just plain simple layman language asante sana.
 
mkuu naomba kujua PL zinazo Support backed kwenye flutter ukiachana na JS + dart, mm najua hizo mbili tu
Actually flutter backend zipo 3 tu; dart, Node.JS na Firebase. Ila ni kwamba unaweza tupia platform specific code kupitia API zao kma unachotaka kufanya hakiwezekani na Flutter peke yake. Ndipo unapoweza andika logic ya kuita feature flani kutoka kwenye OS ambayo haiwezekani kwa kutumia Flutter tu
 
Target yangu hasa ni android +ios tu asante sana mkuu hiyo native niko gizani naanzia wapi hasa mkuu nionyeshe japo njia yaani hizi terminology zenu zinasumbua vichwa naomba unieleweshe kwa just plain simple layman language asante sana.
Mtu akisema native anaamaanisha kutumia official programming language iliyowekwa na walio tengeneza/maintain Operating system ambazo ndio wanatengenezea API

Mfano wa native languages kwa specific OS;
Android - Kotlin, Java & C++
iOS & macOS - Swift, C, C++ & Objective C
Windows - C#, C and C++
 
Mtu akisema native anaamaanisha kutumia official programming language iliyowekwa na walio tengeneza/maintain Operating system ambazo ndio wanatengenezea API

Mfano wa native languages kwa specific OS;
Android - Kotlin, Java & C++
iOS & macOS - Swift, C, C++ & Objective C
Windows - C#, C and C++
Sawa mkuu hapo nipo sawa shukran
 
Kama application yako ni complex usitumie flutter,,tumia native,,kwenye ku maintain cross platform ni majanga....kwa complex application
 
As always, true native is the way to go. For Android go Kotlin and Native Android SDK and for iOS go Swift and UIKit/SwiftUI.

Hizi mambo zingine ni uvivu zaidi na sidhani kama kwa long term plan zinafaa...
 
Flutter kama unatengeneza simple app au website tumia fluatter, kama app yako ni complex, app kama ya kufanaya payment(digital banking), insurance au health. timia language nyingine kama java ivi, sema java UI in majanga kamahauna basic skills in UI in App devlopment
UI kwa upande wa Android sio shida sana. Mwanzoni utapata shida kujifunza unapoanza lakini ukiisha jifunza kanuni za material design na ukapiga app mbili tatu unakuwa vizuri!
 
Target yangu hasa ni android +ios tu asante sana mkuu hiyo native niko gizani naanzia wapi hasa mkuu nionyeshe japo njia yaani hizi terminology zenu zinasumbua vichwa naomba unieleweshe kwa just plain simple layman language asante sana.
Android jifunze kwanza Kotlin then jifunze jinsi ya kuandika Android Platform codes
Kotlin: Kotlin Programming Language
Android: Android Developers

Kwa iOS inakubidi ujifunze kwanza Swift then ujifunze either UIKit/Storyboards au SwiftUI. Kama una target iOS 13.0 and above SwiftUI is the way to go.
Swift: Swift.org
UIKit: Apple Developer Documentation
SwiftUI: Xcode - SwiftUI- Apple Developer

Kwa wale wenye kampuni au kundi wangependa kujifunza chini ya mwalimu live tunatoa kozi za hizi native developments. Kama utahitaji tukutane inbox
 
Tatzo lao hawaeleweki. Wana advertise Kotlin kwenye android sana huku wana advertise watu watumie Dart with flutter pia. Kipi ni kipi sasa.
Kotlin iko stable zaidi ya Flutter mana hata dart kwenye compile yake hua ina kua translated kwend Kotlin first
 
Tatzo lao hawaeleweki. Wana advertise Kotlin kwenye android sana huku wana advertise watu watumie Dart with flutter pia. Kipi ni kipi sasa.
Kotlin ni stable zaid but flitter is monster kama itakua stable kama ilivyo Kotlin sasa and they are doin very oky on that
 
nani kasema haipo stable ? au muktadha upi ?

SDK zake zipo categories 3 , unachagua stable, beta au dev
Nadhani anaongelea general stability. Bado kuna performance issues kadhaa na kuna features zina miss. Kotlin with Android ipo more stable kwenye swala hilo
 
Hivi nchi ina watu kama nyie halafu Website za taasisi mbovu vile. Hatuna mifumo ya maana ya malipo kweli?
 
performance issues
kama zipi ? lags ? kama umechukua stable SDK, tegemea stable performance, nimefanya few flutter based apps siku spot issue yoyote juu ya stability, may be nimefanya chache, may be sikufanya za native then nikompee

kuna features zina miss
ni kweli maana native iko bora kuliko cross
 
Hivi nchi ina watu kama nyie halafu Website za taasisi mbovu vile. Hatuna mifumo ya maana ya malipo kweli?
1. Nafasi za kazi hakuna

2. Taasisi haziamini external and independent contractors

3. Wengine bado wanafunzi
 
Back
Top Bottom