Kuna Mengi ya kujifunza humu......

Kuna Mengi ya kujifunza humu......

Yes, hlo ni tatizo sana... ila kwa kuongezea mm naona shda ya yahoo ni kwamba ili lack the so called hacker culture. Kwa ufup hacker culture ni mtindo wa kuanzaisha kampun wa silicon valley yaan kampuni za tech huko SV zna focus sana katika its core product and making sure they do things very very well mfano ni Google, Facebook na whatsapp ila zote hzo znajtahid klasiku ku improve its core function, ila yahoo yenyewe ilikua inakazania kuuza banner na ku acquire kampun
 
Ingawa hii story inahusu how Yahoo fall naamii ina mengi mno ya kutufundisha kwenye nyanja mbalimbali za maisha.....mbali na technology tu na business...
The rise and fall (OK — mostly fall) of Yahoo — Free Code Camp

Nimeisoma hii article ni nzuri na inafundisha vizuri sana.

Ila kuna baadhi ya mambo huwezi kuyatabiri au kuyaona ikiwa hayajatokea.

Mfano, ni kwenye kununua makampuni ya google na kuuza hisa za alibaba.

Ingekuwaje kama hizo kampuni zingekuwa useless leo? Na itakuwaje kama hiyo tumblr ingekuwa kampuni kubwa leo?

Mimi kama mfanyabiashara naona kuna baadhi ya vitu huwezi kuona hasa kwenye kuajiri wakurugenzi kwasababu kuna baadhi ya makampuni yameajjiri external CEO's na yanafanya vizuri sana.
 
Nimeisoma hii article ni nzuri na inafundisha vizuri sana.

Ila kuna baadhi ya mambo huwezi kuyatabiri au kuyaona ikiwa hayajatokea.

Mfano, ni kwenye kununua makampuni ya google na kuuza hisa za alibaba.

Ingekuwaje kama hizo kampuni zingekuwa useless leo? Na itakuwaje kama hiyo tumblr ingekuwa kampuni kubwa leo?

Mimi kama mfanyabiashara naona kuna baadhi ya vitu huwezi kuona hasa kwenye kuajiri wakurugenzi kwasababu kuna baadhi ya makampuni yameajjiri external CEO's na yanafanya vizuri sana.

Kuna mambo wangeshindwa kupredict lakini sio swala la Google au Alibaba.
Kwa mtu yeyote yule mwenye akili anajua kabisa Google's search algorithm (PageRank) ilikua a revolution kwenye search industry wakati inatoka, hakukua na any better algorithm kipindi kile, infact ukiisoma PageRank moja kwa moja unajua kabisa kua its a genius idea, its hard kufikiria any better algorithm, hata sasa hivi wame~incorporate machine learning kwenye search lakini engine bado inaendeshwa na PageRank.

I think CEO wa kipindi kile alikua na too much pride, aliona kampuni inaingiza pesa nyingi sana kwa mpigo akafikiria hakuna mtu atakuja kuwatoa kwenye game. Ni vizuri kua na CEO ambaye anajua technology na sio sales peke yake kurun a tech company. Angalia makampuni kama Google na Facebook siku hizi kila new tech ikitoka wakijua tu inauwezo wa kucompete na wao wanainunua, wana team imekaa ya kutafuta smaller companies 24/7, hizi companies nadhani zitakuwepo miaka 100 ijayo.
 
Kuna mambo wangeshindwa kupredict lakini sio swala la Google au Alibaba.
Kwa mtu yeyote yule mwenye akili anajua kabisa Google's search algorithm (PageRank) ilikua a revolution kwenye search industry wakati inatoka, hakukua na any better algorithm kipindi kile, infact ukiisoma PageRank moja kwa moja unajua kabisa kua its a genius idea, its hard kufikiria any better algorithm, hata sasa hivi wame~incorporate machine learning kwenye search lakini engine bado inaendeshwa na PageRank.

I think CEO wa kipindi kile alikua na too much pride, aliona kampuni inaingiza pesa nyingi sana kwa mpigo akafikiria hakuna mtu atakuja kuwatoa kwenye game. Ni vizuri kua na CEO ambaye anajua technology na sio sales peke yake kurun a tech company. Angalia makampuni kama Google na Facebook siku hizi kila new tech ikitoka wakijua tu inauwezo wa kucompete na wao wanainunua, wana team imekaa ya kutafuta smaller companies 24/7, hizi companies nadhani zitakuwepo miaka 100 ijayo.

Sijakataa. Nimesoma concern mbalimbali hapo juu. Nyingine ni ngumu kuzipredict mbeleni.
 
Kuna mambo wangeshindwa kupredict lakini sio swala la Google au Alibaba.
Kwa mtu yeyote yule mwenye akili anajua kabisa Google's search algorithm (PageRank) ilikua a revolution kwenye search industry wakati inatoka, hakukua na any better algorithm kipindi kile, infact ukiisoma PageRank moja kwa moja unajua kabisa kua its a genius idea, its hard kufikiria any better algorithm, hata sasa hivi wame~incorporate machine learning kwenye search lakini engine bado inaendeshwa na PageRank.

I think CEO wa kipindi kile alikua na too much pride, aliona kampuni inaingiza pesa nyingi sana kwa mpigo akafikiria hakuna mtu atakuja kuwatoa kwenye game. Ni vizuri kua na CEO ambaye anajua technology na sio sales peke yake kurun a tech company. Angalia makampuni kama Google na Facebook siku hizi kila new tech ikitoka wakijua tu inauwezo wa kucompete na wao wanainunua, wana team imekaa ya kutafuta smaller companies 24/7, hizi companies nadhani zitakuwepo miaka 100 ijayo.
Hapo... umepiga msumari wa mwisho.... great answer
 
Nimeisoma hii article ni nzuri na inafundisha vizuri sana.

Ila kuna baadhi ya mambo huwezi kuyatabiri au kuyaona ikiwa hayajatokea.

Mfano, ni kwenye kununua makampuni ya google na kuuza hisa za alibaba.

Ingekuwaje kama hizo kampuni zingekuwa useless leo? Na itakuwaje kama hiyo tumblr ingekuwa kampuni kubwa leo?

Mimi kama mfanyabiashara naona kuna baadhi ya vitu huwezi kuona hasa kwenye kuajiri wakurugenzi kwasababu kuna baadhi ya makampuni yameajjiri external CEO's na yanafanya vizuri sana.


Google ilikuwa sure deal
kiasi kwamba wao walihofia itawafanya watu wasihitaji Yahoo
sasa kama unaona kabisa hii idea mpya ya no advertisement ..kwenye site itawavutia watu why wao wasii implement?
au kununua tu hisa?

Mengi walifanya makosa ya waziwazi kabisa...simply sababu waliona they can afford...now ni majuto

Watu pekee ambao hawakufanya kosa kubwa lakini wame collapse ni NOKIA
 
Kuna mambo wangeshindwa kupredict lakini sio swala la Google au Alibaba.
Kwa mtu yeyote yule mwenye akili anajua kabisa Google's search algorithm (PageRank) ilikua a revolution kwenye search industry wakati inatoka, hakukua na any better algorithm kipindi kile, infact ukiisoma PageRank moja kwa moja unajua kabisa kua its a genius idea, its hard kufikiria any better algorithm, hata sasa hivi wame~incorporate machine learning kwenye search lakini engine bado inaendeshwa na PageRank.

I think CEO wa kipindi kile alikua na too much pride, aliona kampuni inaingiza pesa nyingi sana kwa mpigo akafikiria hakuna mtu atakuja kuwatoa kwenye game. Ni vizuri kua na CEO ambaye anajua technology na sio sales peke yake kurun a tech company. Angalia makampuni kama Google na Facebook siku hizi kila new tech ikitoka wakijua tu inauwezo wa kucompete na wao wanainunua, wana team imekaa ya kutafuta smaller companies 24/7, hizi companies nadhani zitakuwepo miaka 100 ijayo.


Pride ndio maana Microsoft alitoa offer ya Billioni 40 wakakataa
leo wanauzwa kwa bilioni nne tu
imagine
 
Google ilikuwa sure deal
kiasi kwamba wao walihofia itawafanya watu wasihitaji Yahoo
sasa kama unaona kabisa hii idea mpya ya no advertisement ..kwenye site itawavutia watu why wao wasii implement?
au kununua tu hisa?

Mengi walifanya makosa ya waziwazi kabisa...simply sababu waliona they can afford...now ni majuto

Watu pekee ambao hawakufanya kosa kubwa lakini wame collapse ni NOKIA
Nokia haija collapse ila wameachana na division ya kutengeneza smartphone na kuhamia kwenye a more complex world.
 
Back
Top Bottom