Pamoja na Yanga kutwaa ubingwa, walionja machungu ya maamuzi ya dhurma kwenye mechi za Mbeya city , Tanzania prisons, Geita na Coastal union (japo walishinda mechi za Geita na Coastal). Naomba mwenye kumbukumbu ya Simba kukutana na dhurma ya kiuamuzi msimu huu anijulishe.