Ww kweli huelewi haya mambo hayana formula duniani kote wenye phd wenyewe maprofesa wetu hapa na dr unawaona wanavyotesekaDegree ya pili unashindwa kusolve hili tatizo!?
Ww kweli huelewi haya mambo hayana formula duniani kote wenye phd wenyewe maprofesa wetu hapa na dr unawaona wanavyotesekaDegree ya pili unashindwa kusolve hili tatizo!?
Wewe kweli ni takangumu, yaani kwa swala kama lake unaunana nae ni gumu!?Ww kweli huelewi haya mambo hayana formula duniani kote wenye phd wenyewe maprofesa wetu hapa na dr unawaona wanavyoteseka
Mshaur mkapime damu ili kijiridhisha kama hana umbea wa mjini(ukimwi)Wakuu salamu,
Nimeona niilete hii kuna mama alifanikisha mimi kupata scholarship ya kusoma second degree nje ya nchi.
Ni mama msichana lakini yupo na miaka 37 wakati mimi nikiwa na miaka 28 kibaya zaidi kaolewa but sijawai jua mume wake kwa sababu sijawai muona.
Sasa hivi ananitaka kimapenzi kabisa alikuwa ni Mkurugenzi pale kitengo changu cha kazi. Alifanikisha kuniunganisha nikapata scholarship ya kwenda kusomeshwa nje degree ya pili na taasisi miliyokuwa nafanyia kazi siwezi itaja.
Lakina cha kushangaza alikuwa akinipa dollar 2,000 kila baada ya miezi 6 pembeni ya ile scholarship yangu na taasisi ya kazi.
Nimekuwa nikiwasiliana naye kwa muda mrefu tokea nitoke nyumbani lakini mpaka sasa ni kuniambia ananipenda tu. Masomo nimemaliza na nimeamua kuzama ugaibuni maana naogopa hata kurudi nyumbani.
Wakuu mnishauri nifanyeje maana nimeshindwa kabisa nifanyeje huyu mama ananisumbua kweli ushauri wenu wakuu.
Nimeshindwa kutoa maelezo ya kutosha kwa sababu ya usalama wangu zaidi.
hahaa...research sijui kaifanyaje!Degree ya pili unashindwa kusolve hili tatizo!?
Mahaba watoto wa bongo wanaita hayanaga ujuzi !Ww kweli huelewi haya mambo hayana formula duniani kote wenye phd wenyewe maprofesa wetu hapa na dr unawaona wanavyoteseka
Wewe kweli ni takangumu, yaani kwa swala kama lake unaunana nae ni gumu!?
HaaaaaahMbona kipindi unatafuna hizo dollar 2000 hukuja kuomba ushauri? Dawa ya deni kulipa!
Vijana wa siku hizi wanakula mahindi ya kuchemsha na mayonnaise mkuu. Uwezo wa kufikiri ni sifuri kabisaaa.Degree ya pili unashindwa kusolve hili tatizo!?
Nipe namba yake ya simu nijadiliane nae tuone tunakusaidiaje ili upate suluhisho kijana.Wakuu salamu,
Nimeona niilete hii kuna mama alifanikisha mimi kupata scholarship ya kusoma second degree nje ya nchi.
Ni mama msichana lakini yupo na miaka 37 wakati mimi nikiwa na miaka 28 kibaya zaidi kaolewa but sijawai jua mume wake kwa sababu sijawai muona.
Sasa hivi ananitaka kimapenzi kabisa alikuwa ni Mkurugenzi pale kitengo changu cha kazi. Alifanikisha kuniunganisha nikapata scholarship ya kwenda kusomeshwa nje degree ya pili na taasisi miliyokuwa nafanyia kazi siwezi itaja.
Lakina cha kushangaza alikuwa akinipa dollar 2,000 kila baada ya miezi 6 pembeni ya ile scholarship yangu na taasisi ya kazi.
Nimekuwa nikiwasiliana naye kwa muda mrefu tokea nitoke nyumbani lakini mpaka sasa ni kuniambia ananipenda tu. Masomo nimemaliza na nimeamua kuzama ugaibuni maana naogopa hata kurudi nyumbani.
Wakuu mnishauri nifanyeje maana nimeshindwa kabisa nifanyeje huyu mama ananisumbua kweli ushauri wenu wakuu.
Nimeshindwa kutoa maelezo ya kutosha kwa sababu ya usalama wangu zaidi.
Kwa maandishi yake ukimsoma vizuri ni kama mkenya huyuRud kwanza bongo
AiseeeeeeKwa maandishi yake ukimsoma vizuri ni kama mkenya huyu