Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Ndugu zangu wa JF
Niko kwenye hatua za mwisho kukamilisha kusudio langu la kucha pombe. Nimekuwa nikinywa pombe kwa karibu robo tatu ya umri wangu. Nilifikia hatua ya kunywa safari kama 30 hivi ndo naanza kusikia kidogo sasa napata nishai. Kuna kipindi nikahamia kwenye Konyagi. Nikawa napiga mpaka mizinga 3 ile mikubwa na bado kesho yake niko fresh. Lakini nikapata shida kwenye hii konyagi. Nilianza kutokuona vizuri! Doctor alinishauri niache ze konyagi. Nikaanza kutangatanga, mara leo grants kesho teachers mara ndovu nk nk! Sasa siku za hivi nikaanza kujiuliza je kuna sababu ya kuendelea kunywa! Sasa naona yule roho wa kuukana ulevi inazidi nguvu! So nimeanza zoezi la kuacha kunywa kilevi. Je kuna madhara nitapata nikiacha kunywa pombe kabisa?
Naomba ushauri wenu.
Eeka Mangi
Niko kwenye hatua za mwisho kukamilisha kusudio langu la kucha pombe. Nimekuwa nikinywa pombe kwa karibu robo tatu ya umri wangu. Nilifikia hatua ya kunywa safari kama 30 hivi ndo naanza kusikia kidogo sasa napata nishai. Kuna kipindi nikahamia kwenye Konyagi. Nikawa napiga mpaka mizinga 3 ile mikubwa na bado kesho yake niko fresh. Lakini nikapata shida kwenye hii konyagi. Nilianza kutokuona vizuri! Doctor alinishauri niache ze konyagi. Nikaanza kutangatanga, mara leo grants kesho teachers mara ndovu nk nk! Sasa siku za hivi nikaanza kujiuliza je kuna sababu ya kuendelea kunywa! Sasa naona yule roho wa kuukana ulevi inazidi nguvu! So nimeanza zoezi la kuacha kunywa kilevi. Je kuna madhara nitapata nikiacha kunywa pombe kabisa?
Naomba ushauri wenu.
Eeka Mangi