comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,491
- 17,401
KwaninAisee wabongo sio wakuwawekea dhamana,
Au sioMA CID HAWA. UNATOA SIRI ZOTE UKIWA KIBO COMPLEX, UNAISAKA EVEREST
Asingeweza kukuletea pira kaka kwani kuna kosa kumtongoza mtu?Kuna huyu hapa, macho mazuri vibaya mno, hakika huyu hata akinikamata nitaenjoy sana.
View attachment 3667500
Kuna mmoja hivi nilimuona maeneo ya sarenda bridge, aisee, kadogodogo kafupi kiasi kana matege hivi, kanafanania na lulu Michael kipindi akiwa kwenye ubora wake, ila kenyewe kamezidi weupe, ilibaki kidogo nimpige mkono niombe namba ila alikua na njemba Moja polisi mwenzake NYEUSI kama mkaa, nikaogopa ataniamshia pira.
Kuna ma afande ni wazuri sana aisee.
Nyie si mmeungana kampeni ya kataa polisi🤣🤣🤣Kwanin
Aisee😁,,,anatuta balaa.Uzi wako Nyani Ngabu asiuone.
Atashika pipe kweli huyu?Hilo nalo mkalitazame kama nyumba inaungua.
Hapo ndipo swali limelalia.Atashika pipe kweli huyu?
Ila wanaume 🙌Kuna huyu hapa, macho mazuri vibaya mno, hakika huyu hata akinikamata nitaenjoy sana.
View attachment 3667500
Kuna mmoja hivi nilimuona maeneo ya sarenda bridge, aisee, kadogodogo kafupi kiasi kana matege hivi, kanafanania na lulu Michael kipindi akiwa kwenye ubora wake, ila kenyewe kamezidi weupe, ilibaki kidogo nimpige mkono niombe namba ila alikua na njemba Moja polisi mwenzake NYEUSI kama mkaa, nikaogopa ataniamshia pira.
Kuna ma afande ni wazuri sana aisee sijui huku upolisini walifuata Nini
Amri na ishara zitatoka kwenye visoda.Hapo ndipo swali limelalia.
Alikuwa wa mwisho kugawiwa macho.Si bure.Ila wanaume 🙌🙌
Akirudi kazini,Labda Magazine awe ananipa mimi niweke🤣Ako ata mim bora kanikamate tu afu tuwe wawili