Kuna kitu naona kitatokea hatutoamini

Ukweli unabezwa hebu tumsikilize huyu
Your browser is not able to play this audio.
 
Kwa mmana hiyo mchango wa US ulikuwa ni hilo bomu la Hiroshima lililomaliza vita.

Kwa kukusaidia tu US imeshiriki 100 % kwenye vita vya pili vya dunia. Tofauti na nchi nyingine vita haikupiganiwa kwenye ardhi yake. US ndiyo walioikomboa France wakisaidiana na Mwingereza pamoja na most of the West Europe. Ndiyo Maana mpaka leo US wana Military base Germany.
 
Mama anatuhujumu Sana anatumia pesa Mingi kuzurura Njiwa anabalishia angani, Hivi ni Kwanin huyu mama asiwe Rais wa Zanzibar angalau tukapewa mwinyi, Mwinyi huwezi sikia anazurura hovyo hovyo Kama huyu mama yao
 
Naona hangaya akienda kuifanya zenj jiji la kisasa kama hongkong......wadanganyika jiandaeni kwenda kuwa manamba zenjbar
 
Ndio madhara ya kusoma chuo cha Humphrey Chakubanga Polepole
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…