Kuna kitu hakiko sawa BAVICHA

Bavicha noma mkuu, Tumebadilisha mbinu hatufanyi matangazo tunamkimbiza mwizi kimyakimya.Wakati wao wanalipana kwa kupost uharo mitandaoni sisi tupo field tunakamata mwizi meeeeni
 
siku zote CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI .
 
Mkuu, mi naona ni kama BAVICHA ya sasa imepoa sana, si kama ile ya Heche, sijui wewe unaipima vipi Mkuu!

BAVICHA ya sasa si jeshi la mtu mmoja bali ni jeshi kubwa lililotapakaa kila kona.Mikoa na wilaya wanapiga kazi usiku na mchana na hawamtegemei m/kiti tu kama zamani.
 

Mwisho wa siku na wewe utaitwa msaliti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…