yani kuna watu napenda kusoma mada zao ila wananitesa sana na uandishi wao..1.Lemutuz 2.Katoto kazuri yani utaratibu wa kuacha nafasi,kutenganisha aya na aya hawaujui kabisa kiufupi wao kanuni za uandishi hawana mpango nazo ilimradi tutasoma kwisha.
Sema poa,nimejitahidi nimesoma japo kwa mbindeeee,namalizia kwa kusema hiviiiiii Single mother ninae muelewa ni 1.Aliyefiwa na mwenza wake (huyo naoa)
2.Aliyebakwa au lazimishwa kufanya mapenzi kwa tamaduni au sababu yeyote ikapelekea yeyey kupata ujauzito na kuwa na mtoto (huyo naoa pia)
Ila single mother yeyote aliyetoa papuchi akajitanua kwa furaha kabisa wakat wa tendo halafu akaja achana na mwenza wake iwe kwa kuonewa yeye au kwa sababu nyngine yeyote (sioi hata kwa fimbo,akatafute single father mwenzake)
Kina dada kueni makini kupita maelezo...umeshafanya makosa leo hiii hauna bikra na aliyeitoa haupo nae PLEASE usirudie tena kukosea kuzaaa na mwanaume ambae hato kuoa...(jitieni vichwa ngumu,umaskini na tamaa zitawaponza)
hi SINGLE MOM'S😉😉😉