Kuna hoja ya kukaimu nafasi ya Jaji Mkuu.Kati ya watu walio jadili kwa urefu ni pamoja na Zitto

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Kuna hoja ya kukaimu nafasi ya Jaji Mkuu.

Hoja hii imejadiliwa sana kabla Profesa Kabudi kuteulia kuwa Waziri wa Sheria na Katiba na bado inaendelea kujadiliwa . Kati ya watu walio jadili kwa urefu ni pamoja na Zitto Kabwe kwenye mkutano mkuu wao wa kidemokrasia.

Waziri wa Sheria na Katiba, akiwa kwenye kipindi cha maswali na majibu anasema si kweli kwamba nafasi hiyo haijawahi kukaimiwa baada mtangulizi wake kumaliza muda wake. Hayo yalikuwa majibu kwa Tundu Lissu ambaye ndiye msemaji mkuu wa kambi ya upinzani kwa mambo ya sheria na katiba. Katika hili alitolea mfano. Anasema baada yule Mwanasheria mkuu wa serikali ambaye alikuwa ni wa kiengereza kuondoka, Mwalimu Nyerere alimteuwa mwengine wa kukaimu. T. P. George kutoka Trinidad and Tobago ndiye aliyekaimu na kwa muda mrefu. Na ameeleza kwanini Mwalimu Nyerere amefanya hivyo na sababu moja kubwa ni kuwa hakukuwa na mtu mwenye sifa.

Hoja iliyopo inatokana na katiba ya sasa iwe ya 1977 au hivyo unavyotaka wewe ya 1985 baada kuandika tena upya. Kwa mfano hoja ya Zitto Kabwe kuwa kabla Jaji Mkuu kustaafu tayari inajulikana lini ataastafu kwa hiyo miaka miwili kabla unaweza kujuwa nani atashikilia nafasi hiyo. Jaji Mkuu kukaimu zaidi ya miezi mitano si bure kuna kitu na hapa nakubaliana na hoja ya Zitto Kabwe, kuwa Rais ameamua kufanya hivyo, iwe ni rahisi kumuondosha pindi akiona anaanza kwenda kinyume na matakwa yake.

Kwa hiyo, Profesa Kabudi lazima atumiee usomi wake kuifahamu dhana ya kukaimu. Huko nyuma iliwezekani mtu kukaimu kwa muda mrefu kwasababu hakukuwa na mtu mwenye sifa, hivi sasa yupo/wapo mwenye/wenye sifa.

Profesa Chode-chonde usije kugeuka Fracis Mutungi
tmp_32263-FB_IMG_14932112732831986093930.jpg
 
Profesa Chode-chonde usije kugeuka Fracis Mutungi: The most irresistible conclusion ni kumpata mtu kama Mtungi! You create terror of some sort to win......... the Tanzanian Professors.
Bahati nzuri akishammteua hawezi kumtoa (sipendi neno tumbua). Prof jinyenyekeze kwa leo!
 
Kuna hoja ya kukaimu nafasi ya Jaji Mkuu.

Hoja hii imejadiliwa sana kabla Profesa Kabudi kuteulia kuwa Waziri wa Sheria na Katiba na bado inaendelea kujadiliwa . Kati ya watu walio jadili kwa urefu ni pamoja na Zitto Kabwe kwenye mkutano mkuu wao wa kidemokrasia.

Waziri wa Sheria na Katiba, akiwa kwenye kipindi cha maswali na majibu anasema si kweli kwamba nafasi hiyo haijawahi kukaimiwa baada mtangulizi wake kumaliza muda wake. Hayo yalikuwa majibu kwa Tundu Lissu ambaye ndiye msemaji mkuu wa kambi ya upinzani kwa mambo ya sheria na katiba. Katika hili alitolea mfano. Anasema baada yule Mwanasheria mkuu wa serikali ambaye alikuwa ni wa kiengereza kuondoka, Mwalimu Nyerere alimteuwa mwengine wa kukaimu. T. P. George kutoka Trinidad and Tobago ndiye aliyekaimu na kwa muda mrefu. Na ameeleza kwanini Mwalimu Nyerere amefanya hivyo na sababu moja kubwa ni kuwa hakukuwa na mtu mwenye sifa.

Hoja iliyopo inatokana na katiba ya sasa iwe ya 1977 au hivyo unavyotaka wewe ya 1985 baada kuandika tena upya. Kwa mfano hoja ya Zitto Kabwe kuwa kabla Jaji Mkuu kustaafu tayari inajulikana lini ataastafu kwa hiyo miaka miwili kabla unaweza kujuwa nani atashikilia nafasi hiyo. Jaji Mkuu kukaimu zaidi ya miezi mitano si bure kuna kitu na hapa nakubaliana na hoja ya Zitto Kabwe, kuwa Rais ameamua kufanya hivyo, iwe ni rahisi kumuondosha pindi akiona anaanza kwenda kinyume na matakwa yake.

Kwa hiyo, Profesa Kabudi lazima atumiee usomi wake kuifahamu dhana ya kukaimu. Huko nyuma iliwezekani mtu kukaimu kwa muda mrefu kwasababu hakukuwa na mtu mwenye sifa, hivi sasa yupo/wapo mwenye/wenye sifa.

Profesa Chode-chonde usije kugeuka Fracis Mutungi
View attachment 501405
Katiba inasema atateuliwa kaimu Jaji kushika madaraka
Kwani hata akiteuliwa Jaji kama akienda kinyume na Rais atashindwa kumengua?
Chadema mna hasira Magufuli amekwepa mtego wenu,mlitaka ateue moja kwa moja,halafu muanze kupiga kelele rais amekiuka katiba!
 
Katiba inasema atateuliwa kaimu Jaji kushika madaraka
Kwani hata akiteuliwa Jaji kama akienda kinyume na Rais atashindwa kumengua?
Chadema mna hasira Magufuli amekwepa mtego wenu,mlitaka ateue moja kwa moja,halafu muanze kupiga kelele rais amekiuka katiba!
Kabome you are showing a great lack of intelligence or common sense/ignorance of law! Rais hana mamlaka ya kumuondoa any Judge, let alone Chief Justice. Kumuondoa Jaji /Jaji Mkuu inaundwa kamati ya majaji toka nje kwenye jumuiya ya Madola ikungaana na majaji wateule wa hapa. Kabombe kweli wewe Lumumba! Ndio maana huwa sijibizani na Lumumba!
 
Kabome you are showing a great lack of intelligence or common sense/ignorance of law! Rais hana mamlaka ya kumuondoa any Judge, let alone Chief Justice. Kumuondoa Jaji /Jaji Mkuu inaundwa kamati ya majaji toka nje kwenye jumuiya ya Madola ikungaana na majaji wateule wa hapa. Kabombe kweli wewe Lumumba! Ndio maana huwa sijibizani na Lumumba!
Tatizo lenu mnapenda kufinyanga maneno
 
Nashangaaaa sana kama kuna watu wabaweza kutetea kuwa na kaimu..jaji mkuuu miezi..sita zama hizi ambako..tuna wanasheria..wasomi waliosajiliwa..kama 8 000
Mwalimu alikaimisha mara moja...tu siku z mwanzo na..ni kweli hakuwa na..wasomi waliobobea hadi vijana kama kina Augustino Said walipofuzu na kupata sifa stahiki akawa Jaji Mkuu wa kwanza mzawa baadaye akaja Jaji Mkuu fransis Nyalali ambaye hadi anaondoka hapakuwa...tena na tatizo la...kuajiri wanasheria toka nje ...mahakama zote zilikuwa zimejaaa wazawa..wenye sifa
 
Nashangaaaa sana kama kuna watu wabaweza kutetea kuwa na kaimu..jaji mkuuu miezi..sita zama hizi ambako..tuna wanasheria..wasomi waliosajiliwa..kama 8 000
Mwalimu alikaimisha mara moja...tu siku z mwanzo na..ni kweli hakuwa na..wasomi waliobobea hadi vijana kama kina Augustino Said walipofuzu na kupata sifa stahiki akawa Jaji Mkuu wa kwanza mzawa baadaye akaja Jaji Mkuu fransis Nyalali ambaye hadi anaondoka hapakuwa...tena na tatizo la...kuajiri wanasheria toka nje ...mahakama zote zilikuwa zimejaaa wazawa..wenye sifa
Mkuu wetu ana NIA OVU!
 
Nashangaaaa sana kama kuna watu wabaweza kutetea kuwa na kaimu..jaji mkuuu miezi..sita zama hizi ambako..tuna wanasheria..wasomi waliosajiliwa..kama 8 000
Mwalimu alikaimisha mara moja...tu siku z mwanzo na..ni kweli hakuwa na..wasomi waliobobea hadi vijana kama kina Augustino Said walipofuzu na kupata sifa stahiki akawa Jaji Mkuu wa kwanza mzawa baadaye akaja Jaji Mkuu fransis Nyalali ambaye hadi anaondoka hapakuwa...tena na tatizo la...kuajiri wanasheria toka nje ...mahakama zote zilikuwa zimejaaa wazawa..wenye sifa
Rais hapangiwi cha msingi hajavunja katiba wewe unaweza ukaona kuna majaji wanafaa lakini yeye bado hajampata.
 
Back
Top Bottom