Kuna haja ya kuwa na kitchen party?

Kuna haja ya kuwa na kitchen party?

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,851
Nimekuwa nikiona wasichana wengi wakifanyiwa kitchen party kwa lengo la kufundwa kwa kizazi cha sasa ambacho wasichana wanapika na kupakua tena wengi wakiishi na wanaume kabla ya ndoa.

Sasa je, kuna haja ya kuwa na kitchen party?
 
Mi binafsi naona hakuna haja ya kitchen party kwani hayo mambo ni so natural. Tangu asilia majukumu ya ndoa kwa mke na mume yanafahamika. Lkn pia mabinti wengi kwa siku hizi wanakuwa tayari wanafahamu kila kitu kuhusu ndoa. Ni jana tu jioni nimemtoa jirani yangu baruti aliyekuja kuomba mchango wa kitchen party kwa ajili ya binti yake ambaye mi ninamfahamu jinsi alivo Malaya. Binti huyo kapata mchumba, lkn wakati huo huo bado anaendelea kutembea na mume wa mtu, ambaye huyo mume wa mtu naye anashiriki ktk kuandaa harusi ya huyo binti. Kwa kweli kaniudhi sana. Nimeamua kufuta michango yote ya sherehe za aina hii nyumbani kwangu-ref Magufuli
 
Kufundwa nini wakati wafundaji wenyewe washaachika....tunataka vyombo tu hata honeymoon hatutaki make tutaenda tu kugombania remote huko hotelini

Hongera umeshinda ngoja nikapate kitu ugali sato kwa mama mary nitarud
 
Nasikia kitchen party za siku hizi mashangingi na mashoga ndani ndo wafundaji
 
Hakuna kwanza tujiulize wale walioolewa mwaka arobaini na saba walifanyiwa? na je how are they different from the current brides??? Wazamani walikuwa bikira wa sasa mhu mi chichemi. As Ms Salt commented naona ni vyombo tuuuuu! Ina maana siku ya harusi hawapati hivyo vyombo? Tujifunze kwa kaka Yohana Matapu Malock kwamba tufute vitu vingine. Natoa hoja.
 
Kuna haja kwa mabinti wa kilimanjaro tuu!!!
 
Sa tushafwanyana weeee huko honeymoon tunaenda kufanyaje kama sio kuangalia TV tu

aaaaaaaah.remote.
kwanza nikurudisha michango ya ndugu na jamaa wanayo wachangia watu.na kule ukumbini wal akuna mawaidha zaidi ta kula na kunywa.

wafundaji wanafundia home.ukumbini.kwaito.
 
Back
Top Bottom