Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
Ambalo ni jambo zuri,maana ndio kwenye hela nyingi..natamani tuviangalie vitu kwa pande mbili. Nakumbuka nilibahatika kuona mchanganuo wa mechi moja hizi za kawaida,Tff sijui walipata elf 22 nikashangaa Sana.Lakini nilielewaMara nyingi big match Ndo wanatoa
Sent using Jamii Forums mobile app