Kuna election za mamoderator??

IrDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2010
Posts
745
Reaction score
361
Jamani e,me nna swali eti zipi qualification zinazomfanya mtu kuwa moderator??.Kama vipi kuwe na uchaguzi kabisa na watu wagombee isije ikawa watu wanapewa umoderator kwa upendeleo.

ps:msininukuu vibaya sijasema nataka kuwa moderator,me nauliza tu
 
Jamani e,me nna swali eti zipi qualification zinazomfanya mtu kuwa moderator??.Kama vipi kuwe na uchaguzi kabisa na watu wagombee isije ikawa watu wanapewa umoderator kwa upendeleo.

ps:msininukuu vibaya sijasema nataka kuwa moderator,me nauliza tu
Brother sijajua vigezo kama vilivyo ila naweza kukusaidia baadhi ya vigezo.
Lazima uwe mwenye huruma,upendo,ustahimilivu,uelewa wa mambo na mcha Mungu.
 
And you must be invisible lest members ID you.
 
Jamani e,me nna swali eti zipi qualification zinazomfanya mtu kuwa moderator??.Kama vipi kuwe na uchaguzi kabisa na watu wagombee isije ikawa watu wanapewa umoderator kwa upendeleo.

ps:msininukuu vibaya sijasema nataka kuwa moderator,me nauliza tu

Changia JF mkono mtupu haurembwi.
 
Mikono yenyewe mitupu, na mnataka umoderator,
basi una mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…