Urare..Dawa ya watu wa namna hiyo ni kuwa na don't care attitude,kuna viumbe vikioneshwa care sana huwa vinavimba sana
Cha kufanya usimpigie wala kumtumia sms tena,kama ni kweli alikuwa interested na wewe lazima atakutafuta
Ifike mahali mjifunze kubalance shobo asee
Nimeshindwa kurara bira weweUrare..
Njoo tusikilize playlist yangu utarara tu bira wasi..Nimeshindwa kurara bira wewe
Njoo tusikilize playlist yangu utarara tu bira wasi..
Hapa niripo kuna mziki mkuuubwaa
Hiyo prayrist niwekee hapa hata mbiri
Hii nyimbo ni exactly my typeHiyo yapo..tamu
View attachment 1217712
Wooow ata simu naona ni aina moja.. S series..
Hehee si ujua mapenzi hayajifichiNazitafuta na hizi,halafu uzi wa watu huu tumeuweka wa nyimbo....tuache
πππ ni kweliHehee si ujua mapenzi hayajifichi
Mimi na masuala ya mapenzi wapi na wapii. Angeuliza kuhusu muvi labdaπππ ni kweli
Mshauri mleta mada sasa kabla hujarara