Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Hii ni kweli kwa 60%acha punyeto ongeza lishe utakuja kunishukuru
Kumbuka kuna kipara cha asili.
Tangia utotoni uso mpana hili halitokani na nyeto
Hii ni kweli kwa 60%acha punyeto ongeza lishe utakuja kunishukuru


::dawa sasa tafuta Kipara cha hela huwa kikojeMkuu kuna aina 3 za vipara kuna kipara cha hela ,kipara cha uchawi ,na kipara cha elimu hapo jiulize::dawa sasa tafuta
1 mafuta ya nyonyo
2 vitunguu maji
Unaanza kusugua mahala husika na kitunguu maji kilichokatwa baada ya muda unapakaa hayo mafuta ya nyonyo hapo nywele zako zitardi tu baada ya muda
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mng'ao wake mkuu unakuwa tofauti sanaKipara cha hela huwa kikoje



hiki cha hela unazaliwa nacho au ukipata hela ndo kinatoka?? nitajaribu dawa hii mkuuMkuu kuna aina 3 za vipara kuna kipara cha hela ,kipara cha uchawi ,na kipara cha elimu hapo jiulize::dawa sasa tafuta
1 mafuta ya nyonyo
2 vitunguu maji
Unaanza kusugua mahala husika na kitunguu maji kilichokatwa baada ya muda unapakaa hayo mafuta ya nyonyo hapo nywele zako zitardi tu baada ya muda
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app