Kuna dawa ya kiwaraza?

Kuna dawa ya kiwaraza?

1. Punguza hasira
2. Acha nyeto
3. Punguza mawazo.
Mwisho wa siku wewe ni kipara tu
sawa nimesikia ushauri wako mtaqlamu, mpaka sasa nimeshakubali kuwa mimi ni kipara hapa natafuta point za kuconclude ili ninyoe para tu
 
Mkuu kuna aina 3 za vipara kuna kipara cha hela ,kipara cha uchawi ,na kipara cha elimu hapo jiulize ::dawa sasa tafuta
1 mafuta ya nyonyo
2 vitunguu maji
Unaanza kusugua mahala husika na kitunguu maji kilichokatwa baada ya muda unapakaa hayo mafuta ya nyonyo hapo nywele zako zitardi tu baada ya muda

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kuna aina 3 za vipara kuna kipara cha hela ,kipara cha uchawi ,na kipara cha elimu hapo jiulize ::dawa sasa tafuta
1 mafuta ya nyonyo
2 vitunguu maji
Unaanza kusugua mahala husika na kitunguu maji kilichokatwa baada ya muda unapakaa hayo mafuta ya nyonyo hapo nywele zako zitardi tu baada ya muda

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kipara cha hela huwa kikoje
 
Mkuu kuna aina 3 za vipara kuna kipara cha hela ,kipara cha uchawi ,na kipara cha elimu hapo jiulize ::dawa sasa tafuta
1 mafuta ya nyonyo
2 vitunguu maji
Unaanza kusugua mahala husika na kitunguu maji kilichokatwa baada ya muda unapakaa hayo mafuta ya nyonyo hapo nywele zako zitardi tu baada ya muda

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
hiki cha hela unazaliwa nacho au ukipata hela ndo kinatoka?? nitajaribu dawa hii mkuu
 
Kitaalamu inaitwa Male pattern baldness..

Dawa ya kuotesha ninayoifahamu ni Minoxidil topical ointment, unapaka sehemu iliyoathirika.

Kuhusu gharama na inapatikana wapi sijui!
ngoja nijaribu kuisearch google
 
Back
Top Bottom