Kuna dawa ya kiwaraza?

Kuna dawa ya kiwaraza?

Imole

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2021
Posts
1,546
Reaction score
4,325
Habari wakuu,

Moja kwa moja kwenye mada mimi ni kijana wa miaka 25, kwa muda wa miaka miwili hivi nimekuwa na tatizo la kutoka kipara maeneo ya mbele ya kichwa, lilianza kidogo kidg mpaka muda huu inaonekana kabisa nina dalili za kuja kuwa na kipara kikubwa, nywele za mbele ni tofauti na nywele za kati kurud nyuma ambazo zinaota kawaida tu.

Kwenu wana Jf kama kweli kuna dawa, Utaalamu, au mafuta ya kuotesha nywele au kuzuia zilizopo zisiondoke? naomba msaada wa wa hizo dawa au mafuta, au mtaalamu.

Asanteni.
 
habari, wakuu moja kwa moja kwenye mada mimi ni kijana wa miaka 25, kwa muda wa miaka miwili hivi nimekuwa na tatizo la kutoka kipara maeneo ya mbele ya kichwa, lilianza kidogo kidg mpaka muda huu inaonekana kabisa nina dalili za kuja kuwa na kipara kikubwa, nywele za mbele ni tofauti na nywele za kati kurud nyuma ambazo zinaota kawaida tu. Kwenu wana Jf kama kweli kuna dawa, Utaalamu, au mafuta ya kuotesha nywele au kuzuia zilizopo zisiondoke? naomba msaada wa wa hizo dawa au mafuta, au mtaalamu Asanteni.
Dah pole kwa tatizo master
 
habari, wakuu moja kwa moja kwenye mada mimi ni kijana wa miaka 25, kwa muda wa miaka miwili hivi nimekuwa na tatizo la kutoka kipara maeneo ya mbele ya kichwa, lilianza kidogo kidg mpaka muda huu inaonekana kabisa nina dalili za kuja kuwa na kipara kikubwa, nywele za mbele ni tofauti na nywele za kati kurud nyuma ambazo zinaota kawaida tu. Kwenu wana Jf kama kweli kuna dawa, Utaalamu, au mafuta ya kuotesha nywele au kuzuia zilizopo zisiondoke? naomba msaada wa wa hizo dawa au mafuta, au mtaalamu Asanteni.
acha punyeto ongeza lishe utakuja kunishukuru
 
Hamna dawa.dawa ni kumalizia nywele zote iwe dongo!!
 
Habari wakuu,

Moja kwa moja kwenye mada mimi ni kijana wa miaka 25, kwa muda wa miaka miwili hivi nimekuwa na tatizo la kutoka kipara maeneo ya mbele ya kichwa, lilianza kidogo kidg mpaka muda huu inaonekana kabisa nina dalili za kuja kuwa na kipara kikubwa, nywele za mbele ni tofauti na nywele za kati kurud nyuma ambazo zinaota kawaida tu.

Kwenu wana Jf kama kweli kuna dawa, Utaalamu, au mafuta ya kuotesha nywele au kuzuia zilizopo zisiondoke? naomba msaada wa wa hizo dawa au mafuta, au mtaalamu.

Asanteni.
Kitaalamu inaitwa Male pattern baldness..

Dawa ya kuotesha ninayoifahamu ni Minoxidil topical ointment, unapaka sehemu iliyoathirika.

Kuhusu gharama na inapatikana wapi sijui!
 
Na wewe una kijoji ambangile? Pqmbana nacho tu
 
kuna uhusiano mkubwa sana wa punyeto na utokaji wa kipara na kama ni kweli uliacha mda mrefu basi zidisha lishe na anza kutumia mafuta og ya almomd oil ya kutengeneza
tupo wawili wenye vipara kwenye family yet, wengne waliniambia nimerithi maana mzee wangu ana kipara pia.
 
Habari wakuu,

Moja kwa moja kwenye mada mimi ni kijana wa miaka 25, kwa muda wa miaka miwili hivi nimekuwa na tatizo la kutoka kipara maeneo ya mbele ya kichwa, lilianza kidogo kidg mpaka muda huu inaonekana kabisa nina dalili za kuja kuwa na kipara kikubwa, nywele za mbele ni tofauti na nywele za kati kurud nyuma ambazo zinaota kawaida tu.

Kwenu wana Jf kama kweli kuna dawa, Utaalamu, au mafuta ya kuotesha nywele au kuzuia zilizopo zisiondoke? naomba msaada wa wa hizo dawa au mafuta, au mtaalamu.

Asanteni.
1. Punguza hasira
2. Acha nyeto
3. Punguza mawazo.
Mwisho wa siku wewe ni kipara tu😂
 
Back
Top Bottom