Kuna dalili za simba kufanyiwa figisu fainali ya FA

CK Allan

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
2,729
5,923
ni wazi kuwa Jamali Malinzi baada ya timu yake kutolewa na hata baada ya refa kushindwa kabisa kuiokoa kule msituni sasa kuna dalili za figisu figisu kwa simba isitwae taji hilo... kuna tetesi kuwa
1. Ifanyike kila mbinu mechi isichezwe uwanja wa taifa eti kwa vile Simba itakuwa mwenyeji.. na hivyo mechi ipelekwe uwanja hovyo na nimesikia eti (sokoine) ili kuifanya simba ishindwe maana Mbao wamezoea viwanja vya ndondo.
2. Refa aibebe mbao FC na tetesi zinasema Martin Saanya anaweza kupewa kazi hiyo maana hana aibu... kuna figisu nyingine nyingi sitaziweka wazi kwa sasa...
mimi nawaomba Bakuli FC, tafuteni hela mlipe wachezaji wenu, acheni kufanya figisu kwa mgongo wa TFF, Simba ushindi ni wetu hata mfanyeje.

kwa kuwasaidia tu bakuli Fc, nchini uingereza fainali zote zinachezwa pale Wembely maana ni uwanja wa taifa

-----------updates-------
fainali inafanyika jamhuri Dodoma... hii ni fitina ya wazi kabisa kuwahi kufanyika...
 
Simba mmezoea kulialia sana asee, hadi mnakera... Nyie kila linalopangwa mnafanyiwa figisu... Kwani huko mbeya nyie hamjaenda kucheza mechi za ligi kuu? Kwahiyo mlitaka mpewe nyie kipaumbele cha kuchezea Dar ili mshinde nyie? Mwanaume kulialia ni aibu bhana... Pambaneni mshinde, msiishi kwa mazoea.... Maboya ninyi.... Yanga kapangiwa Mwanza kaenda kucheza katolewa, mbona hawajashika mchawi? Sipati picha nyie mngepelekwa mwanza ingekuaje....
 
Mikia mnatia aibu sana kwa kulialia kama vitoto vya kike,yanga kafungwa na kutolewa mwanza wala hatukusikia mtu akilalamika,nyie mna nini?mnataka tff wawafanyie nini labda?
 
Mikia mnatia aibu sana kwa kulialia kama vitoto vya kike,yanga kafungwa na kutolewa mwanza wala hatukusikia mtu akilalamika,nyie mna nini?mnataka tff wawafanyie nini labda?
Jamaa ni malofa hawa.... Kila kitu figisu.
Sasa sijui walitaka wapewe tu points bila ushindani.... Wanataka waruke wakacheze mashindano ya CAF, sijui huko watamlilia nani... Bogasi kabisa. Pambafuuuu
 
km umesema yanga ilibebwa lkn haikubebeka mechi na mbao basi ht mbao nao hawatabebeka mechi na simba.........achen kulialia yaan nyie kila kitu mnalialia ka watoto wachekechea
 
ni wazi kuwa Jamali Malinzi baada ya timu yake kutolewa na hata baada ya refa kushindwa kabisa kuiokoa kule msituni sasa kuna dalili za figisu figisu kwa simba isitwae taji hilo... kuna tetesi kuwa
1. Ifanyike kila mbinu mechi isichezwe uwanja wa taifa eti kwa vile Simba itakuwa mwenyeji.. na hivyo mechi ipelekwe uwanja hovyo na nimesikia eti (sokoine) ili kuifanya simba ishindwe maana Mbao wamezoea viwanja vya ndondo.
2. Refa aibebe mbao FC na tetesi zinasema Martin Saanya anaweza kupewa kazi hiyo maana hana aibu... kuna figisu nyingine nyingi sitaziweka wazi kwa sasa...
mimi nawaomba Bakuli FC, tafuteni hela mlipe wachezaji wenu, acheni kufanya figisu kwa mgongo wa TFF, Simba ushindi ni wetu hata mfanyeje.

kwa kuwasaidia tu bakuli Fc, nchini uingereza fainali zote zinachezwa pale Wembely maana ni uwanja wa taifa
chezeni mpira nyie.
 
km umesema yanga ilibebwa lkn haikubebeka mechi na mbao basi ht mbao nao hawatabebeka mechi na simba.........achen kulialia yaan nyie kila kitu mnalialia ka watoto wachekechea
km umesema yanga ilibebwa lkn haikubebeka mechi na mbao basi ht mbao nao hawatabebeka mechi na simba.........achen kulialia yaan nyie kila kitu mnalialia ka watoto wachekechea
Wewe Tangu uujue mpira ushawah sikia droo inachezeshwa kwaajili ya kutafuta uwanja
 
Mechi itakuwa Jamhuri Dodoma. Matopeni mlicheza mechi ya kirafiki kwa hiari yenu wenyewe bila kulalamika. Bado mnategemea vile vitu mlivyomwagia pale Taifa dhidi ya Azam? Fanyeni hima mkamwage Dodoma pia.
 
Back
Top Bottom