kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,839
- 20,285
Nashindwa kuelewa kuna nini maana ni ajabu sana tena sana mtu aliyepata zero na vyeti feki anaachwa yaani inashangaza
Ni maajabu sana yaani kabisa
Kuna nini kati ya sizonje na daudi nyuma ya pazia?
Nikitafakari naanza kuwa na wasiwasi huenda yale ya mange na tanzagiza ni ya kweli
Hili jambo si la kawaida nchi hii
Huenda kuna mengi yanafichikana nafsini ila mungu atayaumbua hadharani
Nina wasiwasi na bashite sana na sizonje
Sijui mpaka najiuliza kuna ajenda gani ya siri mpaka anaachwa
Kuna kitu hapo
Ni maajabu sana yaani kabisa
Kuna nini kati ya sizonje na daudi nyuma ya pazia?
Nikitafakari naanza kuwa na wasiwasi huenda yale ya mange na tanzagiza ni ya kweli
Hili jambo si la kawaida nchi hii
Huenda kuna mengi yanafichikana nafsini ila mungu atayaumbua hadharani
Nina wasiwasi na bashite sana na sizonje
Sijui mpaka najiuliza kuna ajenda gani ya siri mpaka anaachwa
Kuna kitu hapo