Kumwagana katika mahusiano

Kumwagana katika mahusiano

Bwii89

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
1,001
Reaction score
1,025
Wadau nimeona mahusiano mengi/ndoa nyingi husambaratika kuvunjika mara baada tu ya kupata watoto wawili au zaidi? Na Mara nyingi wazazi wa upande wa kikeni hung'ang'ania watoto ambapo ki uhalisia hawana uwezo wa kuwalea na kuwapatia mahitaji muhimu!

Nini chanzo? Viburi vya wenzi wetu au!

NB: Mimi ni me!
 
Baadhi ya wanandoa huingia katika mahusiano na ndoa kama vile anajaribisha! Yaani mguu mmoja ndani mwingine nje! Unakuta mlishaanza kuzaa na watoto mwenzako bado anamuwazaga Ex-wake walieachana naye miaka flani kabla hamjakutana , hapo misuguano huanza na kupelekea kumwagana! Wapo pia wanawake wengine ambao huwa wanajipretend kama kwamba ni watulivu na wenye adabu sana wakatit wa mahusiano, lakini akishaingia kwenye ndoa baada ya muda mfupi anabadilika na kuanza kuonyesha rangi yake halisi , hapa ndipo shida huanza na hatimaye mnavunja ndoa!
 
Tatizo miemko imekuwa mingi sana watu wanaingia kwenye ndoa pasipo kujiandaa kisaikolojia matokeo yake ndoa uvunjika
 
Tatizo Ni meko....maisha magumu,mshahara haujapanda,garama za maisha ziko juu....alafu engine ya Prado ukafunga kwenye ist itakuwa inatoka baruti,upate safarii larger baridi na embassy
Hahaaa
 
Baadhi ya wanandoa huingia katika mahusiano na ndoa kama vile anajaribisha! Yaani mguu mmoja ndani mwingine nje! Unakuta mlishaanza kuzaa na watoto mwenzako bado anamuwazaga Ex-wake walieachana naye miaka flani kabla hamjakutana , hapo misuguano huanza na kupelekea kumwagana! Wapo pia wanawake wengine ambao huwa wanajipretend kama kwamba ni watulivu na wenye adabu sana wakatit wa mahusiano, lakini akishaingia kwenye ndoa baada ya muda mfupi anabadilika na kuanza kuonyesha rangi yake halisi , hapa ndipo shida huanza na hatimaye mnavunja ndoa!
Kabisa
 


Wadau nimeona mahusiano mengi/ndoa nyingi husambaratika kuvunjika mara baada tu ya kupata watoto wawili au zaidi??! Na Mara nyingi wazazi wa upande wa kikeni hung'ang'ania watoto ambapo ki uhalisia hawana uwezo wa kuwalea na kuwapatia mahitaji muhimu! Nini chanzo? Viburi vya wenzi wetu au! Nb: Mimi ni me!
 
Dem anaongea ka charahani! Mwanzo alikua mpole!!
Ukiona hivyo kuna vitu mwanzo ulimfanyia, kujali, kumsifia, kumtaniatania, busu kwa wingi, kumpapasa for no reason sasa yakikata huwa yanatafutwa kwa nguvu ambayo wanaume wengi huwa hawaielewi.
 
Baadhi ya wanandoa huingia katika mahusiano na ndoa kama vile anajaribisha! Yaani mguu mmoja ndani mwingine nje! Unakuta mlishaanza kuzaa na watoto mwenzako bado anamuwazaga Ex-wake walieachana naye miaka flani kabla hamjakutana , hapo misuguano huanza na kupelekea kumwagana! Wapo pia wanawake wengine ambao huwa wanajipretend kama kwamba ni watulivu na wenye adabu sana wakatit wa mahusiano, lakini akishaingia kwenye ndoa baada ya muda mfupi anabadilika na kuanza kuonyesha rangi yake halisi , hapa ndipo shida huanza na hatimaye mnavunja ndoa!
Yaani umeniwakilisha vyema
 
Na Mara nyingi wazazi wa upande wa kikeni hung'ang'ania watoto ambapo ki uhalisia hawana uwezo wa kuwalea na kuwapatia mahitaji muhimu! Nini chanzo? Viburi vya wenzi wetu au! Nb: Mimi ni me!
mimi mwenyewe katika hili sielewi chief, uwezo hawana ila bado wanang'ang'ania!!!!!
 
Wadau nimeona mahusiano mengi/ndoa nyingi husambaratika kuvunjika mara baada tu ya kupata watoto wawili au zaidi??! Na Mara nyingi wazazi wa upande wa kikeni hung'ang'ania watoto ambapo ki uhalisia hawana uwezo wa kuwalea na kuwapatia mahitaji muhimu! Nini chanzo? Viburi vya wenzi wetu au! Nb: Mimi ni me!
Huu ni utafiti umefanya au unatuelezea kilichokutokea wewe?
 
Back
Top Bottom