Mungu wangu.......ningemdunda aiseee.....yani apeleke nguo kwa fundi kamwacha mwanangu sauti imekauka.......
Unapomlaza mtoto mdogo kitandani hakikisha hakuna nguo au pillows hapo karibu kwa sababu anaweza kujifuna nazo na akakosa hewa ikawa majanga.Hii imenitokea jana tu,nilitoka kwenda hosp nina sindano za masaa niliporudi sikumkuta maid,mtoto wangu wa miezi minne alikuwa kitandani kalia mpaka sauti imemkwama na alikuwa kavuta blanket yake kajifunika usoni.Karibu nizimie.
Dakika moja kugeuka kuchukua towel inaweza kusababisha maafa makubwa. Janga lingine ni ndoo za maji, watoto wengi sana wamepoteza maisha kwa kutumbukia kwenye ndoo za maji zinazohifadhiwa majumbani kwetu.
Always tunashauriwa tujue mtoto yuko wapi na anafanya nini wakati wote. Ni muhimu sana the price to pay is too high.
ungemdundaaaaa!!!?? hujaona wenzio wanavyonyea ndoo sahivi ndugu kwa kuwapiga hao watu??
na ukimdunda ataendelea kukaa na mwanao ama utambadilisha??
ungemdundaaaaa!!!?? hujaona wenzio wanavyonyea ndoo sahivi ndugu kwa kuwapiga hao watu??
na ukimdunda ataendelea kukaa na mwanao ama utambadilisha??
Huko mbele kwa incidence kama hii mzazi lazima ufikishwe kwa pilato...
Kwa hasira zile ningemdunda ila baada ya hasira kuisha ningemwomba msamaha........kwenye maswala ya watoto sijui nikoje.......kuna siku nshawahi kumpiga kibao mkaka kituoni.....alimweka mtoto kizembe nusu apitiwe na bus la mkoa......yani nilimzaba cha nguvu.....baadae nikamwomba msamaha afu nikamwambia kuwa makini na mtoto ukiwa barabarani......
Kingine hakuna mtu ambae namheshimu kama dada wa kazi....nilianza kukaa nae tangia nina mimba mpaka sasa mtoto ana miaka miwili.......sijawahi mpiga na ukweli nae anajitahidi katika maswala la mtoto......basi nami najitahidi kumpa offer mbalimbali na kukaa nae vizuri....mana kukaa nae vizuri mtoto ndo faraja yangu.....
Pole za wafiwa....ni bad experience ,ila hayo matukio yote yanaangukia kwny makosa ya negligence
mpaka ukakosea kuandika
vumilia tu, ndio dunia
mtoto ni kitu sensitive sana, ukisikia tukio kama hili, ukiwafikiria wanao, dah ngumu sana.
ni uchungu wa mwanao unakufanya hivi ama hivyo ndivyo ulivyo??
jaribu kucontrol hasira maana watu wengine hawasamehi hadi na yeye akurudishie walau "kidogo"
Kweli kabisa, hebu fikiria, mtu sio ndugu yako wala ndugu wa mume wako unaondoka unamuachia mtoto wa miezi saba, ukirudi unakuta mtoto wako msafi kashiba anacheka cheka tu, usipomuheshimu kwa sababu tu unamlipa mshahara utakuwa ni mjinga wa kutupwa. Ingawa kuna wengine hata uwape nini hawaappreciate
Uchungu wa mtoto yoyote yule.....sipendi nimwone mtoto yoyote anateseka kwa lolote.......