Hahaha?Vp maufundi yanachujaga kweli?
Wako poa wote!
Kwa sasa unamiaka mingapi?na unatutoto tungapi?umri wao jee?
Then new 3born in next 4yrs how?Mwezi huu nafiikisha 26 ninako kamoja kazuri hako ka kike kana miwili na miezi saba
Ahaaaa!naanza kumuonea wivu shemeji sasa lol!kwa nni yachuje? tena umri kama wa kwangu ndo yanakuwa mazuri manake huwaz ten kwa presh sijui ni zae sijui nini yaani hapa unakuwa bora mara 3 ya ulivyokuwa.
mbona unauliza kwa kushangaa spika? ni rahisi kwa mama anayemaliza kulea kuwa binti au anayelea. njia ni moja tu. anajikeep flexible kwa kufanya mazoezi anakuwa smart kimavazi na kila kitu na pia anahakikisha hanenepeani sana. plus lotion yako nzuri na ukaujulia mwili wako kimavazi mbona anakuwa binti kuliko umaowaona huko bara barani?
We kabila gani vile!ok nimekumbuka,naomba nikuulize kaswali ka1,hv ni umri gani ambapo mwanamke anakua fundi sana pale taifa?mbona unauliza kwa kushangaa spika? ni rahisi kwa mama anayemaliza kulea kuwa binti au anayelea. njia ni moja tu. anajikeep flexible kwa kufanya mazoezi anakuwa smart kimavazi na kila kitu na pia anahakikisha hanenepeani sana. plus lotion yako nzuri na ukaujulia mwili wako kimavazi mbona anakuwa binti kuliko umaowaona huko bara barani?
Ni PM picha yako plz!maana una ka age kama ka mwandani wangu lol.Mi nipo fit kwa wasionijua nikiwaambia nina mtoto wanakataa.naupenda mwili wangu napenda kuonekana mrembo na kitu kinachochangia kuwa na mwili stable ni kutotumia contraceptives napenda niendelee kuwa yummy mumy
We kabila gani vile!ok nimekumbuka,naomba nikuulize kaswali ka1,hv ni umri gani ambapo mwanamke anakua fundi sana pale taifa?
Ni PM picha yako plz!maana una ka age kama ka mwandani wangu lol.
Ni PM picha yako plz!maana una ka age kama ka mwandani wangu lol.
@secretary mtongozo huo stuka!!!!!!!!!
Ahaaaa!naanza kumuonea wivu shemeji sasa lol!
Ninakaswali ka1 tena basi.Hv standard ya kuvaa shanga ni ipi?I mean idadi ya shanga?hasa na wewe ndo pakumpendezesha hapo wifi yetu. usije rudi kututongoza sisi bure.
Hahahahahaha.......yani unampeperusha ndege wangu hv hv?
Ninakaswali ka1 tena basi.Hv standard ya kuvaa shanga ni ipi?I mean idadi ya shanga?
tatu kwa nakishi yyte ile.
Sawa bibie!je unamzigo?hapa ndege hanaswi mwambie wifi aache kubugia misosi ya uzazi hovyo mazoezi muhimu aangalie hilo tumbo lisije kuwa kama la ng'ombe mi nilitaadharishwa na shemeji yako mapema acha kujiachia kwa kweli sina presha na mwili wangu
hapa ndege hanaswi mwambie wifi aache kubugia misosi ya uzazi hovyo mazoezi muhimu aangalie hilo tumbo lisije kuwa kama la ng'ombe mi nilitaadharishwa na shemeji yako mapema acha kujiachia kwa kweli sina presha na mwili wangu
tatu kwa nakishi yyte ile.