comrade wetu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 964
- 605
Iyo idara ipo likizo toka 2016.
Ni idara gani hiyo inahusika na hayo mambo?
Iyo idara ipo likizo toka 2016.
Kwani hiyo idarani huwa inaingia mpaka mioyoni mwa wateuliwa ili kujua kama ana dhamira ya kweli au mpigaji?Kitendo cha Rais,kuteau,kutengua na kumfikisha mteuliwa na mtenguliwa mahakani, maoni yangu naomba idara inayousik na kufanya Vetting na pia kumshauri Rais ateue,atengue ijitafakari kiutendaji!
Naomba uzi huu uambatanishwe na ule ambao niliwai kumuuliza Rais alikuwa amefanya vetting mpaka akamteua mtu fulani kuwa mteule?
Naomba kuwasilisha.
Vetting ya nini wakati wateule wote wanatoka kanda maalumKitendo cha Rais,kuteau,kutengua na kumfikisha mteuliwa na mtenguliwa mahakani, maoni yangu naomba idara inayousik na kufanya Vetting na pia kumshauri Rais ateue,atengue ijitafakari kiutendaji!
Naomba uzi huu uambatanishwe na ule ambao niliwai kumuuliza Rais alikuwa amefanya vetting mpaka akamteua mtu fulani kuwa mteule?
Naomba kuwasilisha.
Kuna mating☻kuna wetting
Katika mabalozi wateule ambao ni wachafu kuliko wote ni yule Dr. wa nssfKitendo cha Rais,kuteau,kutengua na kumfikisha mteuliwa na mtenguliwa mahakani, maoni yangu naomba idara inayousik na kufanya Vetting na pia kumshauri Rais ateue,atengue ijitafakari kiutendaji!
Naomba uzi huu uambatanishwe na ule ambao niliwai kumuuliza Rais alikuwa amefanya vetting mpaka akamteua mtu fulani kuwa mteule?
Naomba kuwasilisha.
Kweli aisee hadi makamu wa raisi, waziri mkuu, spika, naibu spika, jaji mkuuVetting ya nini wakati wateule wote wanatoka kanda maalum
Hiyo vetting inatafuta malaika? Wstu wamekuwa wajinga sana siku hizi, wanauliza urojo tu! Mke ambaye mnatafuta miaka na kwenda nae kanisani/msikitini anabadilika na unamuacha, ndo ije kuwa nafasi za uteuzi!hakuna vetting sasa hivi, ili upate uteuzi unatakiwa kufanya kati ya mambo yafuatayo
- uwe na kadi ya ccm
- umsifie chief janga kila mara
- unyanyase wapinzani
- uwatukane wapiinzani hasa chadema/mbowe
Nikimaanisha ili uteuliwe lazima uwe na vinasaba vya ufisiemKweli aisee hadi makamu wa raisi, waziri mkuu, spika, naibu spika, jaji mkuu
Ccm ipo kanda zote!Nikimaanisha ili uteuliwe lazima uwe na vinasaba vya ufisiem
Hujui kusoma ww? Soma vizuri nimeandika fisiem.Ccm ipo kanda zote!
Akili zako ni mbovu! Kbla ya kuoa unatakiwa uchunguze na upate historia ya unae taka kumuoa! Sio huoe ndo uchunguzeHiyo vetting inatafuta malaika? Wstu wamekuwa wajinga sana siku hizi, wanauliza urojo tu! Mke ambaye mnatafuta miaka na kwenda nae kanisani/msikitini anabadilika na unamuacha, ndo ije kuwa nafasi za uteuzi!
Ukumbuke wengi wanaotumbuliwa na Trump ni wateule wa Obama ama wameelekea kuungana na demokrat kupinga Sera zakeMkuu hao high profile wanaotumbuliwa na Trump kila siku unawasemaje? A human being remains unpredictable!