sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Kitendo cha Rais,kuteau,kutengua na kumfikisha mteuliwa na mtenguliwa mahakani, maoni yangu naomba idara inayousik na kufanya Vetting na pia kumshauri Rais ateue,atengue ijitafakari kiutendaji!
Naomba uzi huu uambatanishwe na ule ambao niliwai kumuuliza Rais alikuwa amefanya vetting mpaka akamteua mtu fulani kuwa mteule?
Naomba kuwasilisha.
Naomba uzi huu uambatanishwe na ule ambao niliwai kumuuliza Rais alikuwa amefanya vetting mpaka akamteua mtu fulani kuwa mteule?
Naomba kuwasilisha.