Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,553
- 1,428
Hivi tunashndwa vip kuwalipa?
LISSU ALIPOMLAUNU NYERERE SIKUMWELEWA,SASA NAMLAANI KULIKO LISSU
Unafikiri mtuhumiwa wa ugaidi anahojiwa kwa kubembelezwa? Nyie vipi Nyie haya mambo mnayaelewa kweli au mnaleta tu huruma za kipuuzi kwenywe usalama wa nchi.
Mimi nafikiria sana makomandoo wananing'inizwa kama popo!, makomandoo wanalia vilio kama wamemwagiwa maji ya moto!Huyo kawadhalilisha sana makomando
Hivi huyo ni komandoo kweli
Ova
Hiyo style inaitwa popo..huwa wanaitumia sana wale jamaa wana jiita ant robbery ili mtu akubali kusema ukweli
Hao mapolisi wanaotesa watanzania wenzetu hatutawapumzisha kamwe unyama mlioufanya kwa watu wasio na hatia mtajibu.
Komando Lingwenya alisema aliteswa mateso makali akiwa uchi wa mnyama huku wakimrekodi video kwa simu.
Mdude alisema hivyo hivyo eti ata wanawake wanavuliwa nguo na hao mapolisi wanateswa na kurekodiwa juu,, Mdude anasema Kuna mdada mmoja alikuwa chumba Cha pili kutoka alichokuwa mdude,, unaambiwa alivyokuwa analia kwa kuteswa hajui walikuwa wanamtesa na nini.
Halafu unavuliwa nguo Kama ni mwanaume anakuja askari wa kike anaupiga uume wako halafu anakuambia simamisha, what a humiliation .
Wanawake wanaoteswa vituoni wanavuliwa nguo na kuteswa uchi( sio maneno yangu ni ushuuda wa Mdude, Lingwenya na Adomo)
Mlaaniwe nyie Askari mnaodhalilisha watanzania wenzetu,, lakini pia mbalikiwe Askari mnaotenda haki.
Wewe unatetea nini bro...unajua hata kama una mapenzi na kitu flani hebu jaribu kidogo kuwa na roho ya ubinadamu kwa mwanadamu mwenzioHivi hao makomando wameweza kuonyesha alama za mavidonda na maumivu au udhibitisho wa drs kuwa wameumizwa kwa namna yeyote ile?
Noma sanaNi heri mara mia ukakutana na majambazi kuliko polisi- ccm!
Cc Pascal MayallaIndeed !! .....and KARMA says "Comes Rain or Shine; There Will Be Vengeance and Vengeance Will Prevail".....
Na ndio hiki kinacho sumbua Sana Zanzibar..Ukijenga nyumba nzuri na gari Nyerere anakuja. Umevipata wapi? Unafungwa jela na mali zako zinafirisiwa.
Wote walitakiwa wawe masikini. Hao wazee wa kukaa kwenye urais miaka 24+ kisa tu wewe ulihusika kuipigania nchi yako kupata uhuru ni zaidi ya Wakoloni.
Aisee kwa jinsi nilivyo fatilia ushahidi wa ling'wenya kwa namna alivyosimulia kua walimfunga miguu na mikono wakamtundika juu ya bomba wakaanza kumpiga, naona kabisa huyu ni yeye
Wanachosahau ni kwamba siku wakiingia matatizoni, wanabaki peke yao.
Wamuulize Bageni na kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini.
Aliyewaua wafanyabiashara wa madini alipotumwa na Zombe.Alihukumiwa kunyongwa huku Zombe aliemtuma akipona.Bageni yupi chief? Ni yule mwenye vituo vya mafuta?
Nimejaribu kusikiliza hizo kelele za huyo jamaa kwa hakika Mungu tu ndo anayejua hayo magumu anayopitia huyo Mwananchi wa nchi inayotajwa ya Amani na yenye kufuata misingi ya haki za kibinadamu! Mungu amwoneshe huyu Mama mwanga wa kuyatambua na kuyafanyia kazi haya mateso ambayo huenda yyt kesho yakamkuta!