Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Kamesha fuzu hako, kapeleke field sasa (mafunzo kwa vitendo)
Ndio maana Wadau wanaipigia kelele Serikali, kuweka maabara katika shule za Sec...
Ndio maana wanasema ualimu wito...Hiyo hesabu ni ya mtu aliyekomaa ambaye yuko madarasa ya juu. Chekechea kila kitu kama sio picha ni kwa uhalisia, sio kwa kufikiria.
Hahahahhaha anataka ushahidi kabisaa
kweli kabisa mkuuwatoto wa dotcom hawataki kuongopewa...