Kumnunulia simu mwanamke

Olaph.uk

Member
Joined
Sep 5, 2013
Posts
51
Reaction score
5
Wanajamii, nina mpenz wangu yapata mwaka mmoja sana, nilikuwa na tabia ya kushika na kuangalia cm ya mpenz wangu, ilifika wakati akanikataza nisishike tena cm yake kila mtu abaki na yake, saiv cm yake ameibiwa anaomba nimnunulie cm nyingine, sas mim najiuliza nitamnunuliaje cm wakat yeye hataki mm nishike cm yake? ushaur wenu jamani.
 
Usimnunulie,ila akinunua simu kali kuliko ya kwako usije juta baba,mjini hapoo shauri lako.
 
Kwani chupi inazomnunulia mnashare kuvaa,mnunulie cm pia acha tabia ya kukagua cm yake utakufa siku si zako,hawa viumbe waone hivyohivyo.
 
Kwa hiyo akikubali uwe unashika cm yake utamnunulia?
 
Yaani kumnunulia simu tu unawaza na kuomba ushauri juu????

Angekuomba umnunulie ghorofa je?????

Hebu nunua simu kitu gani??? Na ukimnunulia haina maana ujifanye una hatimiliki na kibali cha ukaguzi
 
teh teh..demu wako kakupiga biti usishike simu yake tena?..maji yamezidi unga..hakuliki hapo
 
Aaarrgh acha ufa*la simu tu unalialia tena umnunulie I Phone.
Kutokushika simu yake si ndio kakuokoa ili penzi lisivunjike.
 

Acha kumnunulia uone atavokukomesha na li-Samsung Galaxy S6 - Edge
 
Utakuta mtu mzima hapa kajiandikisha kupiga kura, na kura yake itachangia kufanya maamuzi. Hapa ndipo naishiwa nguvu kabisa kila nikifikiria hatma ya nchi yangu. Mungu atusaidie sana Tanzania.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…