Kumleta wachungaji wafanya biashara kwenye ufunguzi wa kampeni ni dalili za kupotea

Kumleta wachungaji wafanya biashara kwenye ufunguzi wa kampeni ni dalili za kupotea

Alibino

Senior Member
Joined
Jul 1, 2016
Posts
150
Reaction score
334
Wana jamii hili suala la kumleta mchungaji janja janja kama Hananja ni dalili za kupotea na kutokujua unachofanya.

Let be honest ivi kweli mtu unamleta mchungaji Hananja ndo aje kuombea ufunguzi wa kampeni au Mwamposa kweli iyo inaingia akilini? Hizi ni dalili za wazi Rais kapotea ndo maana washindani wake wengi hawana ushindani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom