jaman 2ache ushabiki, kiukwel hapo katokota.
Mkuu kwako wewe big issue ni ipi..,ficha upumbavu wako.,hekima ikukomboe...!Hakuna mtu mzima mwenye akili timamu anaweza kuamini for a minute kuwa Nassari anataka watu wa kaskazini wajitenge! Binafsi napinga kabisa. Ni kauli ya kitoto, pengine ni munkari na mbwembwe za kisiasa lakini kamwe sio mkakati wa kujitenga.
Yes, si kauli ya kuungwa mkono hata kidogo na mwenyekiti wake aliitolea maelezo pale pale na sasa Nassari mwenyewe amefanunua, ifike mahali sasa for people to grow up na deal with bigger challenges and not some petty petty issues.
kuna kila dalili kuwa we ni mke mwenza...ona sasa magamba wameolewa! Mahari ishatolewa.Nasari amewaoa kila mara mnaongelea habari zake
Mbona zenji kila siku wao ndio nyimbo zao na hakuna anayewalazimisha kuomba radhi?
ona sasa magamba wameolewa! Mahari ishatolewa.Nasari amewaoa kila mara mnaongelea habari zake
Mkuu JMushi nakuunga mkono.Hata kwa wale mnaoona kakosea, basi kiukweli hajaanguka, labda kuteleza.
Kwangu mimi hajatetereka, yuko fit na hana haja ya kuomba msamaha.
Utaifa wetu ni wa kiunafiki na wenye nidhamu ya woga ya kutokujadili mustakabali wa nchi vile inavyotakiwa.Upande mmoja ie kwenye issue hii, magamba na wana cdm wengi wanakubaliana, lakini kwenye issue za kuongoza Taifa na ufisadi nk, ni ccm wenyewe, cdm hawana say...Ndo wao(ccm), wenye kutuamulia issue zenye kuligusa taifa, ndo wametufikisha hapa!
Wengine tunafikiri beyond that...
Wenye kusema na waseme, lakini Taifa linahitaji watu wenye msimamo.