Kumekucha UKAWA Songea!!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,785
Habari Makamanda wa UKAWA!!

Ile Siku Tuliyokuwa Tukiingoja Kwa Hamu Hatimaye Imefika,.


Timu ya UKAWA Ikiongozwa Na Prof. Ibrahim Haruna Lipumba Itarindima Leo Katika Viwanjwa Vya Matarawe Kuanzia Saa Tisa Alasiri!!

Wajulishe Na Makamanda Wengine Tuhudhurie Kwa Wingi Mpaka Magamba Waone Wivu!!


Aluta Kontinua,..
 
Katiba haipatikani Matarawe ila inapatikana bungeni
 
Tunakuja huko...nyie chocheeni sie twaja kupooza......moto wenu washeni njeee...kwetu maji yatazima.... Tanzania kwanza na sio tamaa ya madaraka...
 
Wala usitumie nguvu kubwa kamanda
Tumekusikia mkuu
 
Katiba haipatikani Matarawe ila inapatikana bungeni

kama inapatikana mjengoni CCM kwanini msiilete mnakalia kuwabembeleza UKAWA warudi mjengoni. hii inamaana katiba haitapatikana mjengoni bila UKAWA kuwepo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…