Kumekucha.....na najua sasa hivi Mwamposa na Mwacha huko waliko meno yote Kicheko tu kama Ngiri, kwani Masalia ya Gwajima yatahamia Kwao

Kumekucha.....na najua sasa hivi Mwamposa na Mwacha huko waliko meno yote Kicheko tu kama Ngiri, kwani Masalia ya Gwajima yatahamia Kwao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,006
Reaction score
126,388
Serikali imetangaza kulifutia usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima, linalomilikiwa na Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, ikiwa ni siku moja tangu kiongozi huyo wa kiroho atangaze msimamo wake wa kuendelea kukemea vitendo vya utekaji na watu kupotea.

Chanzo: mwananchi_official

Gwajima kama una Pasipoti yako nakushauri anza kuiweka tayari tayari kwani najua kifuatacho ni ama zao au ama zako.
 
You don't know why people go to GCC, first the the letter is fake, and even if they manage to close the church, those people they will not go to other churches. If you have ever been there even once you will understand me.
 
You don't know why people go to GCC, first the the letter is fake, and even if they manage to close the church, those people they will not go to other churches. If you have ever been there even once you will understand me.
She don’t have mussels to reply on this.

Trust me
 
Serikali imetangaza kulifutia usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima, linalomilikiwa na Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, ikiwa ni siku moja tangu kiongozi huyo wa kiroho atangaze msimamo wake wa kuendelea kukemea vitendo vya utekaji na watu kupotea.

Chanzo: mwananchi_official

Gwajima kama una Pasipoti yako nakushauri anza kuiweka tayari tayari kwani najua kifuatacho ni ama zao au ama zako.
🤔Kazi iendelee 🥴
 
Serikali imetangaza kulifutia usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima, linalomilikiwa na Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, ikiwa ni siku moja tangu kiongozi huyo wa kiroho atangaze msimamo wake wa kuendelea kukemea vitendo vya utekaji na watu kupotea.

Chanzo: mwananchi_official

Gwajima kama una Pasipoti yako nakushauri anza kuiweka tayari tayari kwani najua kifuatacho ni ama zao au ama zako.
acheni uzushi. Hakuna wa kuizuia kazi ya Mungu duniani.
 
You don't know why people go to GCC, first the the letter is fake, and even if they manage to close the church, those people they will not go to other churches. If you have ever been there even once you will understand me.
Hiki kiingereza🙉🙉🙉
 
You don't know why people go to GCC, first the the letter is fake, and even if they manage to close the church, those people they will not go to other churches. If you have ever been there even once you will understand me.
Hii English imeniongezea siku za kuishi baada yakuisoma…😂😂a for apple
 
Back
Top Bottom