Kumekucha mgogoro Wa Syria

Kumekucha mgogoro Wa Syria

Pamoja na Air defence nzito ya Russia, US imerusha kombora na kuharibu miundombinu ya uwanja Wa Jeshi La Syria, kama adhabu baada ya Assad kutumia chemical weapon kwa waasi
Kweli marekani imeshambulia kwa kutumtia Tomawaks missile.....lakini urusi haijapeleka Missile defense system.... Uwezo wa Ku intercept makombora wanao kwani wana S4 na S5 missile defence system...
 
Hii nguvu kubwa tunayotumia katika kukariri vifaa vya kijeshi vya USA, Russia, Nato, Iran and others tungeipeleka katika kuinua kilimo na ufugaji tungekuwa mbali sana
 
Hii nguvu kubwa tunayotumia katika kukariri vifaa vya kijeshi vya USA, Russia, Nato, Iran and others tungeipeleka katika kuinua kilimo na ufugaji tungekuwa mbali sana
Ww baada ya mda wa kulima unafanya kaz gan Mkuu? Tafakar kama hiz ni baada ya kaz
 
Tupende kwenda mbele zaidi kwenye habari. Marekani na Russia walifanya negotiations kabla haya makombora hajarushwa. Russia wakakubaliana wapige hiyo base. Lengo la kufanya hivi ni kuondoa uwezekano wa tukio kama la uturuki kuipiga ndege ya urusi kujirudia au Russia kupiga ndege za USA
Unafuatilia kinachoendela Ss hivi.?
 
sasa kama kuna air defence ya russia syria, basi hapo mmarekani kaonyesha kumzidi mbali sana mrusi, na mrusi itabidi afyate mkia. la sivyo kama asipofyata mkia na marekani ikaona kuna opportunity ya kuisambaratisha mazima russia, iisambaratishe mara moja kusudi tubaki na superpower mmoja tu duniani kuliko huyo mtetezi wa iran na syria.
Yarushwa makombora 59 yaliyo piga uwanjani ni 23 mengine yaliishia wapi??? Hayo 36 yalikuwaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom