masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Huyo Mr Machumu achunwe!!
Kwan hii nch ln itaacha kuendeshwa kimazingaombwe?
Nani amekwambia kwamba ukiupinga ni lazima ufe?Kufa km hutaki
Yap Mkuu hiyo ni exclusive kabisa na kama Watanzania tukiacha ' figisu figisu ' zetu huyu Jamaa ' Tajiri ' Dangote ataweza kutengeneza ' ajira ' nyingi sana hapa Tanzania ila katika hayo ' mazungumzo ' na huyo Mama nilichokigundua kumbe ni kwamba ' adui ' namba moja wa Mtanzania ni ' Mtanzania ' mwenyewe kwani nikuhakikishie tu Mkuu kuwa wanaomkwamisha na kutaka kukihujumu hicho Kiwanda cha Dangote 99.999% ni Watanzania wenzetu kisa tu 10% na roho mbaya.
Huyo mama akaisaidie polisi maana anawafahamu hao watu "wanaotaka kukihujumu kiwanda" kwa kuiba mashine n.k , kinyume na hapo ni tarumbeta tu kama za Mwijage