Kumekucha Dodomaaaa hatariii!

JK alishindwa hata kutamka SASA NALIZINDUA RASMI BUNGE akaishia kupiga porojo. In essence Bunge halijazinduliwa!
 

kweli kabisa,hilo ndilo lengo lao.
 
serikali tatu ni mzigo. serikali mbili yatosha
 
Wapinzani wa nchi hii wanapenda kusikia maneno ya kuwafurahisha hata kama hayana msingi. Hongera Jakaya kwa hotuba yako nzuri.
 
Wapinzani wa nchi hii wanapenda kusikia maneno ya kuwafurahisha hata kama hayana msingi. Hongera Jakaya kwa hotuba yako nzuri.

ccm km mlitaka kupima upepo nadhani majibu yake mmeyapata kwa kuungalia upepo wenyewe tu hapa jamii forum. mtakoma kuringa. Ishu sio mko wangapi kwenye bunge la katiba ishu ni kwamba wananchi tupo makini tunawachungulia huko bungeni tuone mkichakachua maoni yetu tu, mjue hii nchi itachafuka. Si maoni yetu yameandikwa kwa ufasaha na tume ya warioba? Ngoja tuone mtuletee mambo mengine ndio mtuambie hayo mmeyatoa wapi!
 

Upepo Jamii Forum??? mlipofungua Account sita sita?? Haya makelele yenu yameshazoeleka. Yangekuwa yameandikwa kwa ufasaha isingekuwepo haja ya bunge la katiba wala kura ya maoni baadae. TANZANIA KWANZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…