WtF........
Hahah kuna mwana alinipa link nikadownload kale ka app nikasema ngoja bundle la voda nililojiunga liishe ndo nimwemwereke na hii offer kumbe msiba wa kichina.
Asante JF sio muda mrefu nilikuwa nijinunulishe hii offer ila sasa app yenyewe naifutilia mbali