johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,000
- 142,028
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu amezindua program ya Binti Mzalendo iliyoandaliwa na Ngome ya Vijana ya chama. Program hiyo itawatambua na kuwahamasisha Mabinti Wazalendo Ili kuwaandaa Mabinti kuwa viongozi wa Kesho taifani
Source: Mwanahalisi Online
I wish you a Merry Christmas 😀
Source: Mwanahalisi Online
I wish you a Merry Christmas 😀