HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,569
kuna bwana mdogo mmoja wa miziki hii ya kizazi kipya,nimemsikia anasema eti "kwa wajanja kumegewa ni siri ya ndani" kweli???!is he serious kweli?anaongelewa kumegewa my wife wangu,mama ya watoto wangu au kidemu tu?
ebu hawa watoto wawe serious kidogo.wacha kabisa habari ya mama watoto kumegwa halafu kufa kisabuni eti "ujanja"!!!
nitam ufoo saro mtu hadharani!!!!
Kuna maswala mengine kuwa na majibu sahihi kabla ya tukio ni ngumu.
unashangaa na ukali wako wote huo kwenye thread, ile tu kumfumania unazimia, Unakuja kuzinduka wife ndio anakupepea. wakati unajiuliza nini kimetokea ameshakufix siku nyiiiiingi!!!!!!! Waaiiii!
kuna mzee mmoja aliniambia, mambo ya kufumaniana hapo zamani hayakuwepo sana. Walikuwa wanajua uwezekano wa kumegewa ulikuwepo na ndio maana walipokuwa wakirudi toka matembezini ilikuwa ni sharti waimbe imbe au kupiga aina furani ya miruzi kwa sauti ya juu ili kama kuna mmegaji aanze mbele mapema![/QUOTE]
Kwa hiyo kumegewa ilikuwa ruhsa ila kibaya kukutwa eneo la tukio tu?
mkuu,mtaji kiuno ukimaanisha nini sasa!!!
1. Wanawake wanafanya biashara ya kugongwa kila siku mbali na waume zao ili wapate pesa!
2. Wanawake wanatumia viuno kuwadanganya waume zao ili wasifatiliwe!
3. Wanaume wanashindwa kutumia viuno vyao katika 6*6 kuwapa dozi wake zao!
Hebu fafanua mkuu.......
kuna bwana mdogo mmoja wa miziki hii ya kizazi kipya,nimemsikia anasema eti "kwa wajanja kumegewa ni siri ya ndani" kweli???!is he serious kweli?anaongelewa kumegewa my wife wangu,mama ya watoto wangu au kidemu tu?
ebu hawa watoto wawe serious kidogo.wacha kabisa habari ya mama watoto kumegwa halafu kufa kisabuni eti "ujanja"!!!
nitam ufoo saro mtu hadharani!!!!
mtaji kiuno ukimaanisha nini sasa!!!
1. wanawake wanafanya biashara ya kugongwa kila siku mbali na waume zao ili wapate pesa!
2. wanawake wanatumia viuno kuwadanganya waume zao ili wasifatiliwe!
3. wanaume wanashindwa kutumia viuno vyao katika 6*6 kuwapa dozi wake zao!
hebu fafanua mkuu.......
Kwa hiyo wewe ukigongewa mkeo utapita mtaani ukitangaza?
Kumegewa mkeo ni aibu kwako na ndo maana akasema ni siri ya ndani meaning sio kitu cha kuhadithia watu!
Nafikiri ameshindwa kutofautisha kati ya mtu kumegewa na kutoa siri na mtu kumegewa na kuchukua hatua! Kutoa siri saa nyingine si jambo sahihi, maana kwa namna yeyote ile, kitendo cha kumegewa ni fedheha ndani ya ndoa maana huwa connected na mahusiano yenu ya siri ya ndani! Unatoa siri, na wewe unajitangaza dunia nzima kwamba umemegewa bila kujijua, ile si sifa, ni upuuzi!
Kwa upande wangu mimi, njia sahihi ni kuchukua hatua kama umemegewa na siyo kutoa siri. Ukichukua hatua yeye mwenyewe atakwenda kueleza mbele ya safari nini kilimkuta mpaka ukaamua kumchukulia hatua kama ana nguvu ya kufanya hivyo.
me hao wazee wazamani naona mambo ya kugongewa hayakuwepo ndio maana wanaongea hivyo.ingekuwa dunia ya sasa wasingethubutu
Kudhibiti kumegewa kuna jamaa yupo gambushi anakupa dawa jamaa akiangalia papuchi anaona nyoka.
Na pia kuna chupitrack ikivuliwa tu alarm inagonga kwenye simu yako.
Teh teh usingizi umegoma.