Kumchukua Barmaid na kuingia naye Lodge, Guest House au Geto ni sawa na kumchezea simba

Nadhani ni nafuu bar maid uliyemzoea kuliko mwanamke unayedhani ni mke wa mtu au ni mstaarabu tu flan ukajiopolea na kuzama naye gheto. Huyu mara nyingi hana uhakika na weye kesho hivyo kukuosha kwake ni kawa tu. Mwingine hataki urudi kwake
 
Kuna jamaa yangu anasema, akitaka kuoa ataoa Bar maid, kwa sababu washachoka na maisha wamepitia mambo mengi na akiwekwa ndani anatulia tuliii
Ubamedi wakati mwingine hauna uhusiano na kipato.wengine wana enjoy kulala na wanaume wapya kila siku.
 
Kweli kabisa,nime experience hicho kitu aisee.
 

Kweli unamwita binadamu mbwa , you’re a disgusting individual
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…