Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,451
- 3,277
Tutafute njia mbadala (mazoezi, kuwahi mapema nyumbani, kuacha magonvi ya kifamilia, kufanya ibada na kutumia kinga kama tutashindwa kabisa kujizuia na ny_ege za ulevi)Tunajikinga vipi na sura nzuri zilizovaa ukimwi?
Usiombe kwenda huko mkuu ni hatari mambo yanayoendelea huko.Weka hayo magroup ya telegram na whatsaap tukajionee ya walimwengu.
Ubamedi wakati mwingine hauna uhusiano na kipato.wengine wana enjoy kulala na wanaume wapya kila siku.Kuna jamaa yangu anasema, akitaka kuoa ataoa Bar maid, kwa sababu washachoka na maisha wamepitia mambo mengi na akiwekwa ndani anatulia tuliii
Polini...Tuwalie wapi sasa
Sema mkuuLegend
Maisha yenyewe ndio haya tu wacha tufaidiUsiombe kwenda huko mkuu ni hatari mambo yanayoendelea huko.
Utakua unakula mbweche kila siku matokeo yake utapandisha kenchi mapema sana.
Kweli kabisa,nime experience hicho kitu aisee.Kiasi kikubwa ni kweli lakini siku hizi asilimia kubwa ya wanawake wengi ni wauzaji tu, ila ni kwa style tofauti tofauti tu!!! Unaweza ukakuta mwanamke yupo home tu lakini anauza kwa kupigiwa simu tu!! Na ndio wengi siku hizi mjini!! Na huyo barmaid anaweza asiwe hatari sana kwakuwa utachukua tahadhari mapema, ila hao unao wakuta muda wote wako kwenye baibui ukajiachia tu, ukiamini ni salama kumbe ni moto!!!
Ndugu zangu napenda kuwaasa, ma-barmaid wengi ni watu waliofika bar kwa bahati mbaya.
Usidanganyike na makalio, wigi, lip stick, wanja au makucha yale ya bandia.
Wengi ni watu waliokosa njia wakajikuta wako bar. Hivyo ni watu wanaoisaka fedha kwa hila zote. Ni nyoka wale, usiwakumbatie, kimbia.
Utanishukuru mbinguni.
Note: Sijawahi kumtongoza wala kulala na barmaid. Nawaasa tu kwa experience niliyoipata kidogo kuhusu hawa wauza pombe wanaolipwa 50 lakini wanajenga kijijini kwao na kutuma pesa ya kula kwa mama na watoto wake.