tena ndio mtoto pekee aliyerithi mikoba ya mzee kwa kuwa mzee aliwahi pia kuwa kwenye cheo alichonacho nape sasa!acheni wivu wa kike!
Nape baba yake Prof Mwandosya, sio Nnauye. Kama mnabisha fanyeni DNA.
Mzee ameacha kumbukumbu mbaya sana kwetu. Sio kwa yale aliyoyafanya kwa nchi yake bali kiumbe alichoacha kwenye familia yake. Ametuachia mtoto mwenye kiburi, kiziwi, mipasho, vuvuzela ambaye amekuwa mzigo kwa taifa ambalo baba huyu alikuwa kioo! Kama tatizo sio malezi yake basi ni hujuma na ushawishi wa mafisadi ndio vilimzidi nguuu mwanae.
Tutaendelea kumwombea mzee wetu huyu wakati tukiendelea kupambana na mafisadi waliomwaribu mwanae ili angalau afuate yale mema na mazuri aliyoyafanya baba'ake kwa nchi yetu.
R. I. P mzee Nnauye!
Selemani umemaliza, jina la kinyakyusa NAPELIGWE, ikimaanisha Nilipewa kwa kiswahili!
Nape ni kiongozi jasiri sana,nashangaa wanaombeza
Alikua ni muislam mdau,jina lake ni halisi ni Mussa Nnauye,Moses alijipa ili apate nafasi ya kusoma shule za mission enzi hizo walikua wanatakiwa kusoma kwenye shule hizo wakristo tu,wengi walibadili majina hata marehemu kighoma malima anaingia kwenye kundi hili!
Selemani umemaliza, jina la kinyakyusa NAPELIGWE, ikimaanisha Nilipewa kwa kiswahili!
Alikua ni muislam mdau,jina lake ni halisi ni Mussa Nnauye,Moses alijipa ili apate nafasi ya kusoma shule za mission enzi hizo walikua wanatakiwa kusoma kwenye shule hizo wakristo tu,wengi walibadili majina hata marehemu kighoma malima anaingia kwenye kundi hili!
Sasa kuitwa Mussa ndio kusema kina mussa wote ni waislam... WadaNGANYIKA tabu sana. Kwa kifupi ukiwa kanisani ibada ya kiswahili atasemwa Mussa na ibada ya Kiingereza atasemwa Moses.... Nadhani umeelewa vizuri.
na madrasa atasemwaje?
Sokoine Universty of Agriculture ni mtu au ni Chuo Kikuu?