Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
Ni mambo mengi sana mazuri amefanya Mzee Moses Nnauye ila kosa kubwa na ambalo hatutamsamehe ni kwa kumzaa Vuvuzela Nape maana ni BOGUS BOGUS BOGUS!
Picha hapo juu nimeitoa michuzi blog, mbona jina la Nape silioni katika members wa familia ya Nnauye? Naomba maelezo kwa wadau wenye taarifa sahihi
Binafsi namkumbuka Brigedia Mosses Nnauye kuliko hata ninavyomkumbuka Nyerere. Nnauye aliipenda sana nchi yake, alionyesha njia kwa wasanii wa nchi hii hasa kundi lake la TOT.
Brigedia Nnauye ni mtu wa kuheshimiwa sana, kwani hata wakati wa serikali ya Mwalimu na ya Mwinyi alionyesha wazi kuwa yeye ni mtu anayetetea ukweli mpaka mwisho.
Brigedia Nnauye angelikuwa hai akiwa na akili zake zile zile asingevumilia kuwa ndani ya chama cha majambazi akina jk!
Nyimbo:
sisi tunataka kuwasha mwenge,
Tunataka kuwasha mwenge,
umulike hata nje ya ya mipaka yetu
ulete tumaini.
Huwezi kuwataja mafisadi ukamuwacha JK, kama hakumtaja KJ hana lolote ni vuvuzela tu.Hivi kuusema ufisadi na kuwataja wahusika ni kazi rahisi?Nape ameweza kufanya kitu ambacho JK Kashindwa
Picha hapo juu nimeitoa michuzi blog, mbona jina la Nape silioni katika members wa familia ya Nnauye? Naomba maelezo kwa wadau wenye taarifa sahihi
Ok hata kama hajamtaja JK,Hao aliowataja kaonyesha ujasiriHuwezi kuwataja mafisadi ukamuwacha JK, kama hakumtaja KJ hana lolote ni vuvuzela tu.
Wanaume wajifunze waache kuzaa nje ya ndoa,at the end mtoto ndo anaeumia,nina uhakika Nape kajisikia vibaya jina lake kutokuonekana kwenye tanganzo lililoonekana dunia nzimaNape ni mtoto wa nje ya ndoa ya mzee Nnauye,hakupata malezi ya ndoa ndiyo maana amekuwa akiropoka sana,vuvuzela la kutupwa.a.k.a jinga
mzee nnauye alikua na nyumba mbili,tangazo limetolewa na nyumba kubwa!picha hapo juu nimeitoa michuzi blog, mbona jina la nape silioni katika members wa familia ya nnauye? Naomba maelezo kwa wadau wenye taarifa sahihi
nyumba kubwa bado ina hasira?hata kama yeye ndo katoa tangazo alitakiwa awaorodheshe watoto wote wa marehemu,waislam si rukhusa wake wanne?mzee nnauye alikua na nyumba mbili,tangazo limetolewa na nyumba kubwa!
mzee nnauye alikua na nyumba mbili,tangazo limetolewa na nyumba kubwa!
nyumba kubwa bado ina hasira?hata kama yeye ndo katoa tangazo alitakiwa awaorodheshe watoto wote wa marehemu,waislam si rukhusa wake wanne?
Lilisahaulika wakati taarifa inachapwa. Na miongoni mwa wakwe nimeona January, ni Makamba? Nape anashambuliwa sana hapa kuwa ni balaa tuliloachiwa na baba yake. Lakini ukweli ni kwamba huyu ni miongoni mwa watanzania wachache sana wenye ujasiri wa kusimama mbele ya mafisadi ndani ya chama chake cha mafisadi. Shutuma zote tunazomrushia zingeelekezwa kwa mwenyekiti wa chama chake.
Hakuna hata ile a.k.a ya Nape ya "The Romantic"?
Watakuwa wamesahau tu!