Kumbukumbu mjaraaabu

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
Hii picha yake hapa chini ni ya miaka 40 iliyopita akiwa Mwanafunzi wa kidato cha kwanza Katoke Seminari March 1975, sura imepotea au yuleyule?
 
Jembe letu wana kanda ya ziwa na wana dar es salaam tushikamane kumpigia kura wa kwetu Mhe.
 
Hii picha yake hapa chini ni ya miaka 40 iliyopita akiwa Mwanafunzi wa kidato cha kwanza Katoke Seminari March 1975, sura imepotea au yuleyule?
Sura ya utoto hii, halafu alivyoendelea kukua sura ikabadilika na kidevu kurefuka.Ikumbukwe
kwamba urefu wa kidevu cha Magufuli ndio alama kuu itumiwayo na wachora katuni eg. Masoud
Kipanya na wengine.Cheki hapa chini jinsi kidevu cha Magufuli kinavyotafsiriwa na wachora katuni:
 
Hii picha yake hapa chini ni ya miaka 40 iliyopita akiwa Mwanafunzi wa kidato cha kwanza Katoke Seminari March 1975, sura imepotea au yuleyule?

Miaka hoyo yuko form one wasira alikua tayari ni mkuu wa mkoa wa mara, hadi sasa yupo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…